Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavote Mara nyingi uwezavyo ila kwa interval Fulani kama dk 2 au 3.
Fanya kuvote kwa kingkiba wetu halla.
Hahaaaaaa haloooooooo ya #KakaSketi kujitongozesha na kujikatisha mauno na mambo ya #Kimombasa kidole juu.[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=KakaSketi]#KakaSketi [/URL] mbona hivyo lakini? Hujamuona La Aziz wako Th Name au?
Au leo hujam miss?
Nikuambie kitu? Kubishana na kichaa na sisi tutaonekana vichaa.Hahaaaaaa haloooooooo ya [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=KakaSketi]#KakaSketi [/URL] kujitongozesha na kujikatisha mauno na mambo ya #Kimombasa kidole juu.
Ni kupoteza mda best solution in kumu ignore kwanza wanatuchafulia Uzi wetu kwa mambo yao ya ajabu. Hata a quote vipi ni kuwapotezea. Watu wazima kujitoa ufahamu.Nikuambie kitu? Kubishana na kichaa na sisi tutaonekana vichaa.
Kilichopo kuanzia sasa naombeni WOTE kwa pamoja tumpotezee huyu #KakaSketi .
Akimtaka Th Name wake uwanja wake huu akate viuno weee, watajijua wenyewe.
Tufanye ya maana jamani, kuna kuvote na mambo mengine mengi tu.
Mbona tulimpotezea yule POPOMA Kedrick?
Basi na huyu tumpotezee,tuendelee na mambo yetu sisi kama sisi.
Kabisa kabisa mpenzi, ni upuuzi kubishana na hawa wajinga...Ni kupoteza mda best solution in kumu ignore kwanza wanatuchafulia Uzi wetu kwa mambo yao ya ajabu. Hata a quote vipi ni kuwapotezea. Watu wazima kujitoa ufahamu.
Sasa ivi na vote kwa kwenda mbele tu basi.
Hafu let us stick to our threads yasiyo husu Uzi tuyaache kabisa.
Tena ukute tunabishana na chai jaba mwenyewe ndo mana hakauki kwenye Uzi ni jinsi gani ana kosa usingizi akimfikiria kiba. Vtu vingine ni utoto mbona si hatuendagi kuwaharibia Uzi wao, ka si utoto niñi sometimes huwa naona tuwapotezee coz we differ in thinking capacity.Kabisa kabisa mpenzi, ni upuuzi kubishana na hawa wajinga...
Tufanye yetu na ngoja niandae ile habari ninayoizembea tokea jana tuijadili mwaya.
Mkuu unahakikisha wanakuambia thanks for your vote lakini?Toka jana hadi saa hiv nimepiga kura 670 kwa King, bado naendelea, sisi ni TeamKazi, wengine wanashangilia kuwa nomination kwenye category mbuzi 6 badala ya kupiga kura wanabaki wanapiga majungu alaf baada ya tuzo wakikosa wataanza kutafuta mchawi. Teteteteh
Toka jana hadi saa hiv nimepiga kura 670 kwa King, bado naendelea, sisi ni TeamKazi, wengine wanashangilia kuwa nomination kwenye category mbuzi 6 badala ya kupiga kura wanabaki wanapiga majungu alaf baada ya tuzo wakikosa wataanza kutafuta mchawi. Teteteteh