Ali Kiba Fans' Special Thread...

Huyo mtoa huduma hana analolielewa zaidi ya kuropokwa!!Kiba 4 real!!
 
Uzi unasoma page ya 81, yaani huu uzi una mvuto wa ajabu hata asiyempenda Kiba utamkuta hapa anajipitisha pitisha ili angalau naye aonekane yupo JF. Ni wazi kabisa usipoingia hapa watu wanaweza kujua huna bundle.
Ova
 
Uzi unasoma page ya 81, yaani huu uzi una mvuto wa ajabu hata asiyempenda Kiba utamkuta hapa anajipitisha pitisha ili angalau naye aonekane yupo JF. Ni wazi kabisa usipoingia hapa watu wanaweza kujua huna bundle.
Ova

hahaaaaa hawashangai wenzao hatuendi then wana lack confidence kweli wanapenda vurugu hasa
Deo Carleon naomba no ya tisheti za kiba
na ndo maana wana anzisha thread sitasita kila siku simply kutafuta ushindani wa kijinga
 
Last edited by a moderator:
huyu dadamond hana jipya hebu asikilize nyimbo zake hasa moyo wangu na mbagala ndizo zilimpaisha shauri yake yaani mpaka akosane na mademu ndio apate idea ya kutunga nyimbo.kiba tandika domo na masifa yake ya kijinga amemuiga chilla nitampata wapi huo ndio mwisho wake wa kuloga
 
Hahahaaa anamchukia mtu ambaye hamjui na wala hana mpango wa kumjua...ajifurahishe tu alale siku ziende

mi jamani penye ukweli ht nisiyemkubali kimziki nampa ukweli sina chuki kihivyo ila dah wengine wanazidi jamani chochote akifanyacho mpinzani bas kibaya we have to grow up
 
Una mambo ww!Huwa natamani nikujuweeeeee......hizi fake ID usumbufu sana,waweza kuta unacomment post ya dadaako au mchepuko wako!Ha ha ha ha haaaaaa!

Hahahaaaa umenichekesha sana....hata hivyo hizi ndio raha za fake ID bwana,unaweza kua na urafiki na mtu ambaye katika hali ya kawaida haiwezekani...
 
Uzi unasoma page ya 81, yaani huu uzi una mvuto wa ajabu hata asiyempenda Kiba utamkuta hapa anajipitisha pitisha ili angalau naye aonekane yupo JF. Ni wazi kabisa usipoingia hapa watu wanaweza kujua huna bundle.
Ova

Heheheeer Mdakuzi una mambo wewe?eti usipopita hapa utaonekana huna bundle......haha haaaa
 
Last edited by a moderator:
ushauri wangu kwa aly kiba kwa sasa we pumzika
wachore tuuuu usishindane na mtu fanya yako ya maisha yako

Katika watu ninaowaamini kwa ku relax tu yaani hawana stress basi Kiba ni # 1....natamani ningeupata moyo wake jamani....lol
Usijali kwa hili mpenzi
 

Achana nae huyo tufanye yetu kwa kujiamini...tokea nimekua die hard fan wa Kiba hajawahi kunidissapoint hata siku moja....keep calm & faith to King Kiba
 
Karibu kwenye thread ya watoto wa mjini, unamshabikia domo wakati hata vijisenti vya kununuwa single yake mbovu unataka watu wengine wanunuwe wewe usikilize bure, ni sheedar.

Ujue Matola huyo jamaa muanzilishi wa thread ya mtaa wa pili namuonaga ana swaga flani hivi za kizee ndio maana hua sitaki kubishana nae kabisa....heshma kwa wazee ipewe kipaumbele jamani
 
Last edited by a moderator:
kuna tetesi dimond dimond na bikra wake wa kisukuma wana toa rushwa kwenye mitandao ya kijamii kumpaisha domo lakini watakwAma si hatulipwi ni mapenzi kwa kitu kizuri ambacho hakipendi sifa za kijinga.eti mpaka akaloge au ahonge media ndio ajulikane.kiba 4 real.ndio kiboko yao
 

Hahahaaa ingekua Kiba ndio anayefanya hivyo tungekoma humu...ile peoples power ya fiesta tu ilileta shiida kubwa mjini
FOREVER ALLY K FO REEEAL,POP IT IN
 
Ujue Matola huyo jamaa muanzilishi wa thread ya mtaa wa pili namuonaga ana swaga flani hivi za kizee ndio maana hua sitaki kubishana nae kabisa....heshma kwa wazee ipewe kipaumbele jamani

Hawa jirani wamepagawa maana wanajitahidi kwa nguvu zote kumpa sifa bosi wao,mtu mmoja anaanzisha thread kumi kwa dk tano,aisee sijawahi ona hii kuua sisimizi kwa nyundo.
 
Last edited by a moderator:
mi jamani penye ukweli ht nisiyemkubali kimziki nampa ukweli sina chuki kihivyo ila dah wengine wanazidi jamani chochote akifanyacho mpinzani bas kibaya we have to grow up

haha hahahahaaaaa!! Mmeanza kukubali,,,

Chinga One njoeni huku, wameanza poteana..
 
Last edited by a moderator:
Hawa jirani wamepagawa maana wanajitahidi kwa nguvu zote kumpa sifa bosi wao,mtu mmoja anaanzisha thread kumi kwa dk tano,aisee sijawahi ona hii kuua sisimizi kwa nyundo.

Wamepagawa kwelikweli wengine wanajikanyaga hawaelewi hata waseme nini....
 
Wanaitana huku bila kujua ni mvuto wa Kiba ndo unaowavuta bila wao kujielewa...!'Gusa unate,hapa panaitwa MTAKUJA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…