Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Wana swagga za kibabu kuna mmoja mkaka chuo tulimbatiza jna LA babu

Hahahaaaaa uwiiiiii unamponda baby jamani???masikini babu wa watu katoa proposal hadharani unamfanyia hivi....how sad 😕😕
 
Likizo imeisha bwana,naona Kiba kawafanya nyumba ya jirani kufungua mauzi mengi mengi kwa kupanic.

Wewe acha tu jana palichafuka hapa jukwaani naona walikua hawajashtuka kua ule wimbo ni kimeo....baada ya kutafakari leo kimyaaaaaa
 
Jamani Matola sio wote tunaotumia PC mfano mimi natumia simu naona hii ni page ya 164 sasa nitajuaje ikifika huko kwenye 100?

Bundle ya mwezi mzima....can't imagine nikiwa mimi,hahahaa

Atakayeshinda ndio atachagua nani ampe...

Atakayebahatika Fans wote watathibitisha na nitampa fans mmoja wetu ampe zawadi yake.

Haya mambo si utajili ni la kuthaminiana zaidi. Aliyebahatika mtamtangaza nyinyi wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Mbona hatukuelewi jamani mtazamaji?toa basi japo maneno machache kuhusu King Kiba then mambo ya t-shirts yafuatie???
Natanguliza samahani....

Nyie mnamuita king Ally.. mi namuita King Kiba.. kiti chake cha Ufalme kipo pale pale.. tupo pamoja Nifah??
 
kiba hashindani ila anashinda yaani magoli ya mbali ya bila zoezi kimbiza hao mpaka wApitilize kwao.mwenyekiti amekalia kiti chake single moja wamepiga kelele laki moja
 
Hahahaaaaa uwiiiiii unamponda baby jamani???masikini babu wa watu katoa proposal hadharani unamfanyia hivi....how sad 😕😕

Ha ha ha ha uwiiii shostii ni shiiider tupu chezea proposal we ye akiacha swaga za kibabu labda il a sijui
 
Atakayebahatika Fans wote watathibitisha na nitampa fans mmoja wetu ampe zawadi yake.

Haya mambo si utajili ni la kuthaminiana zaidi. Aliyebahatika mtamtangaza nyinyi wenyewe.

Mhhh vipi ukibahatika wewe mwenyewe?....lol
 
kiba hashindani ila anashinda yaani magoli ya mbali ya bila zoezi kimbiza hao mpaka wApitilize kwao.mwenyekiti amekalia kiti chake single moja wamepiga kelele laki moja

Heheheee na anajua kulenga kwelikweli...ndomo machale yamemcheza kua katoa taputapu eti bado jiwe la kufungia mwaka...hahahaaa
Na bado sasa anatoa kila mwezi Kiba akitoa video atachanganyikiwa atatoa kila wiki....😀😀😀
 
Hahahaaaa gen una miakili wewe hadi nakupendaje sasa....uwiiiii hatutaki I'd mpya apewe,atapewa yeyote yule kati yetu tunaojuana hapa

kweli ohoooo mijitu inapagawa na singo moja tuu
wamepoteza dira hawajiamini hata kidogo
watatafuta tu id mpya wapate bando hiloo
na watamfagilia kinyama
 
Atakayebahatika Fans wote watathibitisha na nitampa fans mmoja wetu ampe zawadi yake.

Haya mambo si utajili ni la kuthaminiana zaidi. Aliyebahatika mtamtangaza nyinyi wenyewe.

nimekuelewa ila mi yeyote kwa kweli ntafurahi sana sina kinyongo ht na mmoja
 
Back
Top Bottom