Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Anahusika kwa lipi?
hahaaaaa!! uwii kumbe hausiki, mweee utafanya alie mwenzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anahusika kwa lipi?
Anajikomba tuuu!is wajua hapa kwa Kiba ndo mambo yoteee!hahaaaaa!! uwii kumbe hausiki, mweee utafanya alie mwenzio
hii complimentary jamani, cpati picha nikiipata
kunajiri nini jamani humu? i was sooo busy today jaman kumbe tulitembelewa na majirani? Thats y i love you guys response yenu imenihamasisha, guuud go go go go kiba, kiba mstaarabu na mashabiki wake pia wastaarabu, tuko nawe miaka miaa, nifah mimi mithi wewe
hii complimentary jamani, cpati picha nikiipata
Mhuuu!!yani mie mwenyewe naitamaniiii...hata Chinga anaitamani we utamwona tu
Mithi you tyuu babe...where were you?
Twajenga nyumba moja ya nini kugombea fito?ataepata bahati yake,ila sijui barabara ya pili hawataiga!!najiuliza kwa kuwaza.
hahahaaaaaaaa fanya uchukue mine
kazi hizi jamani, huku naona mambo yamenogaa, watu wanachachawa hata hawajielewi, kiba noma aisee watu moja haikai mbili haisimami basi taabu tupu
ngoja nijitahidi maana naona mpaka wa mtaa wa pili wanaitaka hii wamekuja kukaba penalt huku, mpaka kuna watu hata siwaelewi mara waadmit kiba ni noma mara wakatae, jamani kwani wameshikiwa mtutuuuu, kubalini tu kiba ni mkaliii maana huo ndio ukweli
Ati nini?thread waliiga maana kuanzisha ni bure chezea offer ya bundle ya mwezi wewe?nani wa kutoa pale?chinga???au huduma?
Wote wachovu tu...kiruuuu watanunaje sasa?
Ati nini?thread waliiga maana kuanzisha ni bure chezea offer ya bundle ya mwezi wewe?nani wa kutoa pale?chinga???au huduma?
Wote wachovu tu...kiruuuu watanunaje sasa?
hahaaaa! yaani wanafujo hao na zipo damuni, basi kazi kuhahaa tuu kutafuta balaa, kweli nimeamini ukitembea na mwizi nawe lazima uwe mwizi
Wanajaribu kuupindisha ukweli jamani...huku kimoyomoyo wanamkubali...
Kuna siku nilimuona mtu anamponda Kiba eti ana sauti mbaya anashangaa tunavyomsifia nilicheka sana,sasa the king of r&b dunia nzima alishangaa na kuisifia kwelikweli yeye akimponda ni nani?anaujua mziki kuliko R.Kelly?chuki zinaua jamani
ngoja nijitahidi maana naona mpaka wa mtaa wa pili wanaitaka hii wamekuja kukaba penalt huku, mpaka kuna watu hata siwaelewi mara waadmit kiba ni noma mara wakatae, jamani kwani wameshikiwa mtutuuuu, kubalini tu kiba ni mkaliii maana huo ndio ukweli
Ha ha ha!!,naona Matola upo karibu na eneo la kihistoria alipozomewa mwafulani,yani that area ni his worst nightmare!!Hapo ulipo nadhan Chinga keshachukua bodaboda kuja kula vya bure,mpe tuu