Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
wamakonde nnawajaua mie binamu nimekaa nao miaka mitatu
Hahahaaaa kwa hiyo nimelenga mulemule eeh?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamakonde nnawajaua mie binamu nimekaa nao miaka mitatu
Wana swagga za kibabu kuna mmoja mkaka chuo tulimbatiza jna LA babu
Nyie mashabiki wa Kiba mna miakili mingi mingi na hamna papara.
Zikiwepo na t shirts long sleeves nishtue
Jamani Robert na wewe ni mmojawapo alafu umepotea kama nini....likizo imeisha eeh?
Likizo imeisha bwana,naona Kiba kawafanya nyumba ya jirani kufungua mauzi mengi mengi kwa kupanic.
Jamani Matola sio wote tunaotumia PC mfano mimi natumia simu naona hii ni page ya 164 sasa nitajuaje ikifika huko kwenye 100?
Bundle ya mwezi mzima....can't imagine nikiwa mimi,hahahaa
Atakayeshinda ndio atachagua nani ampe...
Mbona hatukuelewi jamani mtazamaji?toa basi japo maneno machache kuhusu King Kiba then mambo ya t-shirts yafuatie???
Natanguliza samahani....
Hahahaaaaa uwiiiiii unamponda baby jamani???masikini babu wa watu katoa proposal hadharani unamfanyia hivi....how sad 😕😕
Nyie mnamuita king Ally.. mi namuita King Kiba.. kiti chake cha Ufalme kipo pale pale.. tupo pamoja Nifah??
Ha ha ha ha uwiiii shostii ni shiiider tupu chezea proposal we ye akiacha swaga za kibabu labda il a sijui
Atakayebahatika Fans wote watathibitisha na nitampa fans mmoja wetu ampe zawadi yake.
Haya mambo si utajili ni la kuthaminiana zaidi. Aliyebahatika mtamtangaza nyinyi wenyewe.
kiba hashindani ila anashinda yaani magoli ya mbali ya bila zoezi kimbiza hao mpaka wApitilize kwao.mwenyekiti amekalia kiti chake single moja wamepiga kelele laki moja
Hahahaaaa gen una miakili wewe hadi nakupendaje sasa....uwiiiii hatutaki I'd mpya apewe,atapewa yeyote yule kati yetu tunaojuana hapa
Wana swagga za kibabu kuna mmoja mkaka chuo tulimbatiza jna LA babu
Nyie mashabiki wa Kiba mna miakili mingi mingi na hamna papara.
Wewe acha tu jana palichafuka hapa jukwaani naona walikua hawajashtuka kua ule wimbo ni kimeo....baada ya kutafakari leo kimyaaaaaa
kiba hashindani ila anashinda yaani magoli ya mbali ya bila zoezi kimbiza hao mpaka wApitilize kwao.mwenyekiti amekalia kiti chake single moja wamepiga kelele laki moja
Atakayebahatika Fans wote watathibitisha na nitampa fans mmoja wetu ampe zawadi yake.
Haya mambo si utajili ni la kuthaminiana zaidi. Aliyebahatika mtamtangaza nyinyi wenyewe.