unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,045
NZI HAWEZI KUTOA ASALI HATA ALISHWE GUNIA MIA ZA SUKARI..
Mnafikiri collable ndio kilakitu kibakuli hana jipya kama alifanya na R kelly na davido ndio itakuwa na nin???
palaso kaimba na davido mwaka huu nyimbo imefika wap??
radio na weasel wameimba na wizkid nyimbo imefika wapi??
MTANYOOKA TU!!
Davido mwenyewe anasanda kwa dangote katoa wimbo na meekmill lakini bado NANA ndio habari ya AFRIKA 3 NOMINATIONS WIMBO MMOJA UMEMZIDI HADI DAVIDO MWENYEWE
Wanenguaji bana, mnatoka povu sanaa