NZI HAWEZI KUTOA ASALI HATA ALISHWE GUNIA MIA ZA SUKARI..
Mnafikiri collable ndio kilakitu kibakuli hana jipya kama alifanya na R kelly na davido ndio itakuwa na nin???
palaso kaimba na davido mwaka huu nyimbo imefika wap??
radio na weasel wameimba na wizkid nyimbo imefika wapi??
MTANYOOKA TU!!
Davido mwenyewe anasanda kwa dangote katoa wimbo na meekmill lakini bado NANA ndio habari ya AFRIKA 3 NOMINATIONS WIMBO MMOJA UMEMZIDI HADI DAVIDO MWENYEWE
Ile redio huwa sisikilizi mana naona machizi ni wengi watangazaji wenyewe zero brain na hvi huwa sipendi kusikiliza ujinga wao.cloudz wote team dai wanafiki et kiba alivyovamiwa na waizi wakasema anatafuta kiki yani pale labda shafih dauda ila woootee wanafiki hadi ki millard hakijaenda coke studio kwa kiba
Kweli diamond n icon wa tz hadi Ali kiba Ana penda kumuiga diamond diamond alitoka n jokate Mara kiba huyo n jokate, video diamond kwa godfather Mara kiba nae huyo kwa godfather diamond collabo n davido kiba nae huyo collabo kwa davido but whyyyyyy am so wandaz royal family 😀😀😀😀
Deal LA one8 lilikuwa LA Mr blue akarembua ndo akatafutwa kiba n airtel
Tuzo mmeshampa iyobo lakini??? Msimdhulumu bana
Sasa clouds unafiki wao n nn embu acheni bhn kuwasema clouds
Wape salam waambie kiba is here to stay. Hasa yule mnuga wa jahazi.
Diamond tulitoboa kimataifa 2010 MTV awards najua wengi hawalijui n nyimbo ya mbagala
Aliingia best upcoming artist japo tuzo alichukua mo cheddah
Kumbe alikuwa chipukizi hahahahahha. Ina maana alikuwa hajajitambua kuwa yeye ni mmenguaji zaidi, uimbaj hawez
Kwahiyo nikusaidiaje?
Kilimbamula tunaomba utupumzishe tafadhali.Sitaki kuamini kama huwa huwaoni wenzio wanavyokuja huku kumwaga matusi na kutuchokoza.Leo ni ukurasa wa 1629 wa huu uzi. Lakini cha kushangaza 45% ya comments za humu zinamuhusu Diamond, 25 zinamhusu Kiba mwenyewe akipewa ushauri mwema na kupongezwa kwa mafanikio yake. Asilimia 30 ya comments ni matusi, kejeli, vijembe na maneno ya kukoseana heshima.
My take, tunaondoa maana nzima ya aliyeanzisha huu uzi. Naomba tubadilike na kujadili mambo ya msingi baada ya kuandika vitu visivyo na maana. Hali kama hii pia imejitokeza kwenye uzi wa Diamond Almasi. Tubadilike.
Wito wangu kwa Kiba, afollow watu wengine, hasa wasanii.
Nitapiga hii kelele, kila siku.
Hao clouds, muda utashughulika nao.Si mnaona dahuu kaumbuka.
Wito wangu kwa Kiba, afollow watu wengine, hasa wasanii.
Nitapiga hii kelele, kila siku.
Hao clouds, muda utashughulika nao.Si mnaona dahuu kaumbuka.
Ona hapa