Lol ile hamasisha yenu imenifanya hd mimi ke ninyooke hagagagaaaaaaaaa...
What next after kunyooka? Inauma eti imenyooka mda mrefu....
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=tutaheshimianatu]#tutaheshimianatu u[/URL]
Demo tuu inawatoa utelezi vipi audio ikitoka si ndo mtainama fasta ipitee pyeeeeeeeee maana utelezi tayari ushawatoka.
Hahahaaa school babyyy.
Wauweeeeeee
mpaka leo domo hapatani na manekee kwa ajili ya ule wimbo "nikifa kesho " aliuvujisha makubaliano ni mpaka afe ye akaotoa
sawa kwa nn hajauto officially wenzake wote uliowataja walitoa officially kwa nn hakufanya hivyoMbona gk aliimba nitakufaje tupac allimba if I die tonight
看免得我推.....
hahahahah. na kweli #tutaheshimianatu
ina babu tale alivyosema hukumsikia au yule ndo anaroga ili domo ling'ae na dawa zake zimeisha nguvuKwan uchawi upo :what:
sawa kwa nn hajauto officially wenzake wote uliowataja walitoa officially kwa nn hakufanya hivyo
#tushanyooka inameni sasa
ina babu tale alivyosema hukumsikia au yule ndo anaroga ili domo ling'ae na dawa zake zimeisha nguvu
wainame waone balaa
Tukisha wainamisha video itatoka kesho yake pamoja na video ya kama nikifa kesho na tv station.
Inama wew wacha mboyoyooo.
Cute be tibikaaaaaaaa
Wewe siwezi angaliaa hahagaaaaaaaa ila poa si utanisukuma na wezeree ama nene mimi nakukamuaaaaa
Blood bado hujampata wako wa kumwinamishaaa? Hahahaaaaaa
Hahaha kawapande wanawake wenzio lesbo ww...#mnyookoUmewavuruga naona mnapata ukichaa sahivi.
#Schoolbus
Unapenda eeeh 😛
Mmmmh....wewe unaishi kwa obama au? ?tz
Ooooioww baby your so sweeet...
Im coming im coming...
Tushanyooka inama vizuri wew.