Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Demo tuu inawatoa utelezi vipi audio ikitoka si ndo mtainama fasta ipitee pyeeeeeeeee maana utelezi tayari ushawatoka.
Hahahaaa school babyyy.
Wauweeeeeee

看免得我推.....
 
mpaka leo domo hapatani na manekee kwa ajili ya ule wimbo "nikifa kesho " aliuvujisha makubaliano ni mpaka afe ye akaotoa

Na hao n nani taja umuhimu wa msanii kufollow wasanii wenzake.?
 

Attachments

  • 1437753598013.jpg
    1437753598013.jpg
    31 KB · Views: 47
ina babu tale alivyosema hukumsikia au yule ndo anaroga ili domo ling'ae na dawa zake zimeisha nguvu

As long upo n babu tale uwezi shuka ndo maana wasanii waliotoka tip top wanadrop
 
leo king kiba anafikisha mwaka mmoja toka arudi kwenye mziki wa ushindani
dunia nzima hamna mwanamuziki kama kiba mwaka mmoja nyimbo chache lakini watu hawana amani
note:kiba alitaka kumfanya domo aimbe taarabu mzee yusuph akamzui hahaaa
 
Back
Top Bottom