Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ipo hiviii.
Unaweza kuvote mara nyingi uwezavyo.
Kama kwenye simu yako una opera chromo mozila web unaweza ukaingia kwa kila apps ukavote ukimaliza unahamia opera ukimaliza unahamia chromo mpaka umalize.
#tutahishimianataratibu .
Usiku mwemeni .
 
Hahaha kwaio Diamond alijua kua atatangulia kabla ya maneke au. Mbona unaongea vitu havina msingi
peleka ushamba wako huko sasa we unajua kwa nn waligomba ule wimbo "nikifa kesho" ulimkosenya rahaa domo ulipovuja we unaona ni vizuri vile alivyoimba mule
 
peleka ushamba wako huko sasa we unajua kwa nn waligomba ule wimbo "nikifa kesho" ulimkosenya rahaa domo ulipovuja we unaona ni vizuri vile alivyoimba mule

Vizuri tu ni idea flani" nigga never scared death bcoz u gona face it at anytime tu.
 
As long upo n babu tale uwezi shuka ndo maana wasanii waliotoka tip top wanadrop
babu tale fela salaam sk wote wachawi tu wanaroga ili wasikamatwe na madawa ya kulevya na domo ling'ae
 
jamani mwenye zile picha za domo alivyo vua nguo jukwaani atupie nimezitafuta kwangu nimezikosa plz na


lile lilikuwa sharti la mganga
mwanaume utaonyeshaje mata..ko bwana nifah CUTEb Th Name peterchoka sharcole atoto unanitaka mwenye nazo hizo pic plz ntazipeleka hadi kwenye thread yao kule kila siku ntawaekea #ntatoa zawadi nono kwa mwenye nazo plz plz
 
Last edited by a moderator:

Mkuu alievua nguo ni afande sele sio dai...
Uongo umeanza lini mkuu??
 
Last edited by a moderator:
Mkuu alievua nguo ni afande sele sio dai...
Uongo umeanza lini mkuu??
hata domo alikuwa anavua na madancer wake we umeanza lini kumshabikia domo kaacha sasa hivi anavua nguo za juu angalia show zake zoote mwanzo ilikuwa anavua unabahati sijaziona ningezitupia hapa
 
Hapo vepeeeee.
Mr icon
 

Attachments

  • 1437756508650.jpg
    10.4 KB · Views: 67
Last edited by a moderator:
hata domo alikuwa anavua na madancer wake we umeanza lini kumshabikia domo kaacha sasa hivi anavua nguo za juu angalia show zake zoote mwanzo ilikuwa anavua unabahati sijaziona ningezitupia hapa

Sasa dhambi ipo wapi mkuu?? Kuvua shati kwa mwanaume? tatizo nini

Tafuta hoja nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…