sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Baby sorry lol naondoka.
Vote for king uzalendo jaman
Leo nmevote kwa kiba..kesho kwa dai..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baby sorry lol naondoka.
Vote for king uzalendo jaman
Leo nmevote kwa kiba..kesho kwa dai..
peleka ushamba wako huko sasa we unajua kwa nn waligomba ule wimbo "nikifa kesho" ulimkosenya rahaa domo ulipovuja we unaona ni vizuri vile alivyoimba muleHahaha kwaio Diamond alijua kua atatangulia kabla ya maneke au. Mbona unaongea vitu havina msingi
we nn kwani kupiga picha na mtu ndo kupata mbona tunda na matonya hawapatani lakini wanafanya kama hivyoNa hao n nani taja umuhimu wa msanii kufollow wasanii wenzake.?
peleka ushamba wako huko sasa we unajua kwa nn waligomba ule wimbo "nikifa kesho" ulimkosenya rahaa domo ulipovuja we unaona ni vizuri vile alivyoimba mule
kuangalia picha za birthday ika kwa nn unakimbia madaNitajie umuhimu wa msanii kufollow wasanii wenzake ktk social networks
babu tale fela salaam sk wote wachawi tu wanaroga ili wasikamatwe na madawa ya kulevya na domo ling'aeAs long upo n babu tale uwezi shuka ndo maana wasanii waliotoka tip top wanadrop
jamani mwenye zile picha za domo alivyo vua nguo jukwaani atupie nimezitafuta kwangu nimezikosa plz na
lile lilikuwa sharti la mganga
mwanaume utaonyeshaje mata..ko bwana nifah CUTEb Th Name peterchoka sharcole atoto unanitaka mwenye nazo hizo pic plz ntazipeleka hadi kwenye thread yao kule kila siku ntawaekea #ntatoa zawadi nono kwa mwenye nazo plz plz
huu sio ushabiki huu matusi ya nn kwani uneitwa huku we changia kwani mpaka utukane unaona siifaa #nshanyooka inama basiSio bure unaNyege 2 school bebe na m duduvule lishapanda hapa
hata domo alikuwa anavua na madancer wake we umeanza lini kumshabikia domo kaacha sasa hivi anavua nguo za juu angalia show zake zoote mwanzo ilikuwa anavua unabahati sijaziona ningezitupia hapaMkuu alievua nguo ni afande sele sio dai...
Uongo umeanza lini mkuu??
Hapo vepeeeee.jamani mwenye zile picha za domo alivyo vua nguo jukwaani atupie nimezitafuta kwangu nimezikosa plz na
lile lilikuwa sharti la mganga
mwanaume utaonyeshaje mata..ko bwana nifah CUTEb Th Name peterchoka sharcole atoto unanitaka mwenye nazo hizo pic plz ntazipeleka hadi kwenye thread yao kule kila siku ntawaekea #ntatoa zawadi nono kwa mwenye nazo plz plz
hata domo alikuwa anavua na madancer wake we umeanza lini kumshabikia domo kaacha sasa hivi anavua nguo za juu angalia show zake zoote mwanzo ilikuwa anavua unabahati sijaziona ningezitupia hapa