Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mkuu alievua nguo ni afande sele sio dai...
Uongo umeanza lini mkuu??

Vizuri tu ni idea flani" nigga never scared death bcoz u gona face it at anytime tu.

Unapenda eeeh [emoji14]

Mkuu alievua nguo ni afande sele sio dai...
Uongo umeanza lini mkuu??

Vizuri tu ni idea flani" nigga never scared death bcoz u gona face it at anytime tu.

Unapenda eeeh [emoji14]
 
Sasa dhambi ipo wapi mkuu?? Kuvua shati kwa mwanaume? tatizo nini

Tafuta hoja nyingine
acha ubishi domo kwako ni mtume hakosei sasa unatetea hadi huu upuuuzii
Sasa dhambi ipo wapi mkuu?? Kuvua shati kwa mwanaume? tatizo nini

Tafuta hoja nyingine
acha ubishi domo kwako ni mtume hakosei sasa unatetea hadi huu upuuuzii
 
ndo maana nampenda kiba aise haigi maisha ya watu yule

toka nimfollow kiba insta hajawahi post mali zake leo ndo kapost yupo kwenye gari ndani tena hata gari huwezi jua ni gari gani #itakuwa bajaji ile lakini pesa ya noah kiba atatoa wapi #kiba usifeki maisha bro tunakupenda saanaaa
 
Kiba bhn anampost wema Leo alishidwa nn kumpost kipindi chote kile daah
 
yisabel nifah leo kiba kapost yupo ndani ya gari haijawahi tokea kwa nn unapenda misifa domoooo lile kama.... kaangalieni insta ila itakuwa imejipost kiba kapost yupo ndani ya gari yake #maajabu haya wallah
 
Last edited by a moderator:

Chuki binafsi plus wivu wa kike sasa mtu akipost gari lake au nyumba yake wewe inakuuma nini?? Badilika acha mtazamo hasi na wakizaman...
 
Chuki binafsi plus wivu wa kike sasa mtu akipost gari lake au nyumba yake wewe inakuuma nini?? Badilika acha mtazamo hasi na wakizaman...
nenda zako huko umeitwa huku dume unakuwa na mambo ya kike sasa domo hizo nguo alivua lengo kake ni nini ? domo ndi linamambo ya kike linandika mipasho,vujembe,nafumbo,ana muandikia hadi zari hivi unatumia insta isijekuwa unakesha jf halafu unabisha watu insta ndo kila kitu
 
Kiba bhn anampost wema Leo alishidwa nn kumpost kipindi chote kile daah

Usimpangie mwanamme mwenzio maisha ya kuishi na nini cha kupost.
 

Attachments

  • 1437757823194.jpg
    10.5 KB · Views: 57
pwilo zimetosha mkuu wangu wa kazi?
 

Attachments

  • 1437757947132.jpg
    34.2 KB · Views: 62
Last edited by a moderator:
umeishiwa mada kakojoe ulale sawa

umeishiwa mada kakojoe ulale sawa

We wema alimpost Mara ngapi kiba ktk tuzo za ktma acha uzezeta we n hii ishu imetolewa n team wema wamemainidi sn mnashidwa kula n kipofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…