Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

sawa ila hatuzirudishi

kashtaki tatizo nyie sujui mkoje yule meneja wa domo salaam sk akisema management ya kiba anaiba nyimbo zake anaziuza sasa kashtaki unganisha na hiyo kesi ya tuzo tulizoiba nendeni mahakamani sawa kedrick
#tushanyooka

Achana nao hawa, kipindi kile team wema wamempa support huyo stripper, akachukua saba, na sadaka akatoa, na party akafanya.
#kwakweliwanainamavizuri
 
Last edited by a moderator:
asante mkuu huu ndo ushabiki sasa mbona kiba alivyozingua tulimwambia sumbai ww ni mfano wa kuigwa na wenzako kama kedrick yeye kila kitu ndio kama wabunge wa ccm big up shem wetu

Haya mkuu ila msiseme saana...
 
Last edited by a moderator:
💚Breaking news 👇

1. Aysharose Mattembe (311)
2. Martha Mlata(235)
3.Diana Chilolo(182)
4. Wema Sepetu(90)
Kura hazijatosha
Singida kura za maoni CCM
👍
 
kiba ana matatizo ameenda kwenye interview kimya kimya cloudz hii sasa sio aisee kiba umezidi #ok u can check it on fb
 

Attachments

  • 1437764741037.jpg
    1437764741037.jpg
    28.6 KB · Views: 92
muwe na usiku mwema ila kasema mwana ilikuwa afanye na falii pupa #check it on fb
 
Last edited by a moderator:
💚Breaking news 👇

1. Aysharose Mattembe (311)
2. Martha Mlata(235)
3.Diana Chilolo(182)
4. Wema Sepetu(90)
Kura hazijatosha
Singida kura za maoni CCM
👍
Naona dawa ya #TumeshanyookaInameniBasi imekukolea vilivyo maana mpaka unabadili upepo kwa kuleta habari za siasa huku na hasa kuhusu wema...
Akuuuhhh, humpotezi mtu hapa.
Nyie si mlikua mnajishaua? Pokeeni matokeo kwa mbwembwe Vilevile maana mliomba kwa mbwembwe sana.
 
Back
Top Bottom