Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ninyi ndio mtakaommaliza Kiba kabisa, anaposoma comment kama hz likichwa linavimba anajiona yupo juu,
hakuna kitu kizuri kama kumpasulia mtu ukweli kuliko kumpa sifa za marehemu,
Kiba yuko vizuri ana talent ila ni bonge la mjeuri na mvivu wa kufa mtu... usisikie ya kuambiwa tafuta ukweli wake....yaani akiacha ujeuri na kuongeza bidii na ubunifu atakua moto wa kuotea mbali.

Ila kwa sasa Diamond Platinum yuko juu sana kwa Kiba,,, the boy has what it takes to be an International star!
lazima muelewe juhudi, kujituma na ubunifu ndio silaha ya kufanikiwa popote

Narudia tena kuweni wakweli ili mumbadilishe Kiba acheni kumsifia ujinga...kwa kufanya hivi mtaendelea kumfanya awe maarufu Tz na kwenye KTMA wakati huku sio ishu tena kwa mtu kama Ali na Nasibu ishu ni nje ya mipaka, huko hakuna mizengwe kama yetu hapa bongo

Angalieni ktk tuzo za MTV za juzi, hakuna fitna pale... na kila alieshiriki na kukosa au kupata tuzo kaondoka amerizika...no longolongo wala sijui teams...

ni uwezo halisi na ubunifu tu.
Kafie mbali huko na wewe...eti ndio tunammaliza #KingKiba anaposoma comments kama hiyo yangu niliyomsifia!
Kwani kuna lipi la uongo nililolisema? Halafu ulivyo mtupu kichwani unaponda na kusifia hapohapo.
Nilitegemea useme jambo la tofauti na nililolisema mimi ila umerudia yaleyale na kuyatia maneno ya chuki ambazo tunawajua haters kama nyie hamtupi taabu.
Kiba anajua, mimi kama shabiki wake wa damu namkubali sana.
Kuhusu kupiga hatua kila kitu kina muda wake, tumeshaanza kuuona mwanga wa kimataifa kwanini tumpigie kelele?
Kwani wakati anaanza muziki ni sisi tulioenda kumpigia kelele?
Hakuna kitu kizuri kama ustaarabu, yeye Kiba anajua anachokifanya. ..tuheshimu mipango yake na kumuombea azidi kutupa burudani na apate mafanikio vilevile.
 
Teh teh katka hao watu wenye hadhi uliokaa nao nahisi ndio kidampa katka wote.
Wewe kidampa usijifanishe na mimi.Hunijui na wala sitaki kukujua mjinga mjinga kama wewe.
Mtu huonesha hadhi yake hata kwa maneno tu...sasa wewe popoma kwa post zako unazopost huku JF haihitajiki akili ya ziada kujua wewe ni 'CHAI KAVU TYPE'
Wanaokuzunguka wewe ni wapiga debe na mateja wanaoshinda vijiweni huko ndio maana muda wote unashinda JF.
Halafu unajiona nawe bonge la mtu...mxiuuuuu!
 
Alikuwa anakupima kama bado upo kwenye swaumu sasa nazani ameelewa na hatarudi tena
Naona ananipima imani au amesahau kua mimi ndio nifah. ..
Subiri nimpe sindano zake maana wajinga wajinga kama hawa ukiwaacha kistaarabu ndio wanajitapa kuwa 'umesanda'.
 
Last edited by a moderator:
Le newspaper...
Mnakosea sana kumwongelea kiba na ndomo.
Kwani huwezi mshauri bila kumfananisha na domo?
Sisi tumemkubali hivyo hivyo

Acha ushabiki wa kitoto, mimi simshabikii Nasib wala Kiba... ungelijua ni nani ninaeandika hv wala usingenijibu,,, mie napenda tuwe na watu wenye mafanikio ya muziki pale juu kama kumi hv ili kutawala soko la Africa, unasema nisimuongelee Nasibu kvp wakati huyo Kiba anakesha kila siku akiwaza ni jinsi gani atamfikia/kumpita huyo Nasib

kwa sasa huwez ukawatenganisha hawa wawili hata siku moja koz ndio wanaonyesha kushindana japo mmoja anamwacha mwenzie mbali

Alli na Nasib ni kama Kenya na Tanzania
Kenya (Nasib) iko juu na imeiacha Tz (Ally) kwa mbaaali sana almost ktk kila kitu labda kasoro ulinzi wakati rasimali walizonazo Kenya (Nasib) ni chache sana ukilinganisha na lundo la rasimali walizonazo Tz( Ally)
tatizo kubwa hapa ni mipango na usimamizi wa utekelezaji basi.
 
Kafie mbali huko na wewe...eti ndio tunammaliza #KingKiba anaposoma comments kama hiyo yangu niliyomsifia!
Kwani kuna lipi la uongo nililolisema? Halafu ulivyo mtupu kichwani unaponda na kusifia hapohapo.
Nilitegemea useme jambo la tofauti na nililolisema mimi ila umerudia yaleyale na kuyatia maneno ya chuki ambazo tunawajua haters kama nyie hamtupi taabu.
Kiba anajua, mimi kama shabiki wake wa damu namkubali sana.
Kuhusu kupiga hatua kila kitu kina muda wake, tumeshaanza kuuona mwanga wa kimataifa kwanini tumpigie kelele?
Kwani wakati anaanza muziki ni sisi tulioenda kumpigia kelele?
Hakuna kitu kizuri kama ustaarabu, yeye Kiba anajua anachokifanya. ..tuheshimu mipango yake na kumuombea azidi kutupa burudani na apate mafanikio vilevile.

Umemaliza kila kitu.
Ameanza kwa kujidai mzalendo... akabadili style akajidai team kiba ila asiyetetea ujinga akamalizia kwa kujidhihirisha kuwa yeye ni team ndomololo.
Kazi wanayo mwaka huu
 
Nimejisikia aibu sana kwakweli kuona dume linalojiita dume kusema neno kiruuuuuuuu!
Kama unakumbuka niliwahi kusema kua ukiona dume linaongeza herufi mbele kama hivyo ujue 'LIMESHACHAKACHULIWA'!
Hii ni aibu kubwa sana, sasa nimeamua kutumia ustaarabu tu kumkanya naona anataka kunipanda kichwani...
Ngoja tuvae vibwebwe sasa maana hakuna namna nyingine tena.
#WanaumeKamaMabinti

Huyo sio kusema "kiruuu " tuu.
Nilimkuta mahali kasema. "👌👌Haloooooo"
Na vidole hivyo hivyo kweli ni hasara kwa familia yake
 
Kuvote ni kila siku Jamani. Vote vote 4 king Kiba.
Tunavote sana tu mkuu, subiri kuna dume linataka kupotea liungane na sisi wadada ndio tunataka kulibadilisha hapa maana wanawake tuko wengi sana hatutaki 'WENZETU'
 
Acha ushabiki wa kitoto, mimi simshabikii Nasib wala Kiba... ungelijua ni nani ninaeandika hv wala usingenijibu,,, mie napenda tuwe na watu wenye mafanikio ya muziki pale juu kama kumi hv ili kutawala soko la Africa, unasema nisimuongelee Nasibu kvp wakati huyo Kiba anakesha kila siku akiwaza ni jinsi gani atamfikia/kumpita huyo Nasib

kwa sasa huwez ukawatenganisha hawa wawili hata siku moja koz ndio wanaonyesha kushindana japo mmoja anamwacha mwenzie mbali

Alli na Nasib ni kama Kenya na Tanzania
Kenya (Nasib) iko juu na imeiacha Tz (Ally) kwa mbaaali sana almost ktk kila kitu labda kasoro ulinzi wakati rasimali walizonazo Kenya (Nasib) ni chache sana ukilinganisha na lundo la rasimali walizonazo Tz( Ally)
tatizo kubwa hapa ni mipango na usimamizi wa utekelezaji basi.

Gazeti tena.
Ila bado ni pumba tuu.
Karudi kivingine
 
Kafie mbali huko na wewe...eti ndio tunammaliza #KingKiba anaposoma comments kama hiyo yangu niliyomsifia!
Kwani kuna lipi la uongo nililolisema? Halafu ulivyo mtupu kichwani unaponda na kusifia hapohapo.
Nilitegemea useme jambo la tofauti na nililolisema mimi ila umerudia yaleyale na kuyatia maneno ya chuki ambazo tunawajua haters kama nyie hamtupi taabu.
Kiba anajua, mimi kama shabiki wake wa damu namkubali sana.
Kuhusu kupiga hatua kila kitu kina muda wake, tumeshaanza kuuona mwanga wa kimataifa kwanini tumpigie kelele?
Kwani wakati anaanza muziki ni sisi tulioenda kumpigia kelele?
Hakuna kitu kizuri kama ustaarabu, yeye Kiba anajua anachokifanya. ..tuheshimu mipango yake na kumuombea azidi kutupa burudani na apate mafanikio vilevile.
nifah sio kila mtu alie humu JF ni mpumbavu, mm sintakujibu kwa lugha uliotumia wewe.

nimejaribu kueleza ukweli halisi na jinsi ninavyomfahamu Alli sasa hayo mambo ya eti mie hater sijui yanatoka wapi..., any wei mie sio hivyo unavyodhani...

kuhusu kuuona mwanga wa kimataifa hapo ndio nashindwa kukuelewa ni mwanga upi???
unataka kuniambia kuna mwanga wa kimataifa zaidi ya ule wa kukaa studio moja na Rkelly na kufanya nae recording ???

plz dada Acha ukali,,, matusi au lugha gonganishi sio dili
halafu wewe nifah wa ajabu sana tukikuta kwenye thread zingine za kawaida ambazo hazimtaji Kiba aaaa uko poa kweli kwenye comments na posts zako ,, tatizo ni pale Kiba anapohusishwa unakua mkali kama pilipili ... duuuu!!!


haya bwana!!! msalimie KingKiba
 
Last edited by a moderator:
Huyo sio kusema "kiruuu " tuu.
Nilimkuta mahali kasema. "👌👌Haloooooo"
Na vidole hivyo hivyo kweli ni hasara kwa familia yake
Uwiiiiiii sitaki kuamini! Kumbe ndio maana limekasirika nilivyoliambia lina mwanamke?
Yalaaaa....siku ishavurugika Wallah! Huu ni msiba!
 
Wewe kidampa usijifanishe na mimi.Hunijui na wala sitaki kukujua mjinga mjinga kama wewe.
Mtu huonesha hadhi yake hata kwa maneno tu...sasa wewe popoma kwa post zako unazopost huku JF haihitajiki akili ya ziada kujua wewe ni 'CHAI KAVU TYPE'
Wanaokuzunguka wewe ni wapiga debe na mateja wanaoshinda vijiweni huko ndio maana muda wote unashinda JF.
Halafu unajiona nawe bonge la mtu...mxiuuuuu!

Haha kwani nani amekwambia nataka kujuana hapa nahiz fake Id"shame. Et huna hadhi duh bt I hv gt billion reason tht u r vry low compared with me.. alaf kama povu vile cjui ndio #mnyooko .
Jf nadhani niko mda mchache compared with you. Povu tu
 
Uwiiiiiii sitaki kuamini! Kumbe ndio maana limekasirika nilivyoliambia lina mwanamke?
Yalaaaa....siku ishavurugika Wallah! Huu ni msiba!

Hahahaaa sasa kumbe ana tabia za kidada dada....
Michambo ya ajabu ajabu..
 
Acha ushabiki wa kitoto, mimi simshabikii Nasib wala Kiba... ungelijua ni nani ninaeandika hv wala usingenijibu,,, mie napenda tuwe na watu wenye mafanikio ya muziki pale juu kama kumi hv ili kutawala soko la Africa, unasema nisimuongelee Nasibu kvp wakati huyo Kiba anakesha kila siku akiwaza ni jinsi gani atamfikia/kumpita huyo Nasib

kwa sasa huwez ukawatenganisha hawa wawili hata siku moja koz ndio wanaonyesha kushindana japo mmoja anamwacha mwenzie mbali

Alli na Nasib ni kama Kenya na Tanzania
Kenya (Nasib) iko juu na imeiacha Tz (Ally) kwa mbaaali sana almost ktk kila kitu labda kasoro ulinzi wakati rasimali walizonazo Kenya (Nasib) ni chache sana ukilinganisha na lundo la rasimali walizonazo Tz( Ally)
tatizo kubwa hapa ni mipango na usimamizi wa utekelezaji basi.
Acha unafiki na ukuda wewe ni timu #ChaiJaba hapa unajishau huna timu kiunafiki tu kama hawashabikii kilichokuleta huku nini[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] wewe vepeeeee eti tungejua we nani hahaaaaasssas what the hell do u think ua. We don't need hypocritical advice. Eeeeeh [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji2] kiba tutamsifia sana tu #WhetherYouLikeOrNot eeeeeh ndo hvo tena sasa no way.
 
Acha unafiki na ukuda wewe ni timu #ChaiJaba hapa unajishau huna timu kiunafiki tu kama hawashabikii kilichokuleta huku nini[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] wewe vepeeeee eti tungejua we nani hahaaaaasssas what the hell do u think ua. We don't need hypocritical advice. Eeeeeh [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji2] kiba tutamsifia sana tu #WhetherYouLikeOrNot eeeeeh ndo hvo tena sasa no way.

Hahahaaaa eti tungejua yeye ni naniii mweeeeeee anataka aseme yeye ni kiba au?
Watu wengine bhanaaa kutafuta sifa za ajabu ajabu
 
👌👌👌👌👌Halooooooooooooo.

Hahaha sawa Cute b kwaio mm kun thread nishawah kusema hlo neno. Dah mtu ukiishiwa vyaku attack utatunga chochote duh" inaelekea ule mchapio wko nilio ushtukia ume maindE.
 
Nimejisikia aibu sana kwakweli kuona dume linalojiita dume kusema neno kiruuuuuuuu!
Kama unakumbuka niliwahi kusema kua ukiona dume linaongeza herufi mbele kama hivyo ujue 'LIMESHACHAKACHULIWA'!
Hii ni aibu kubwa sana, sasa nimeamua kutumia ustaarabu tu kumkanya naona anataka kunipanda kichwani...
Ngoja tuvae vibwebwe sasa maana hakuna namna nyingine tena.
#WanaumeKamaMabinti
Hawa wanaume wa ajabu kweli kweli kujilegeza ka wanataka mtungo ndo nini. Etii kiruuuuu bora umemkanya kiustaarabu huyu na kaka kisheti cha Mombasa ana mwambia mwanaume mwenzake I miss you hadi nawaza kuwa hawa ni michicha mwiba sio bure ishindwe na ilegee inakuja kutuchafulia Uzi wetu na mitabia yao.
#BeAManActLikeRealMan
 
Hahaha sawa Cute b kwaio mm kun thread nishawah kusema hlo neno. Dah mtu ukiishiwa vyaku attack utatunga chochote duh" inaelekea ule mchapio wko nilio ushtukia ume maindE.

Hahahaaaa kwani ni uongo huwekagi hivi?👌👌👌👌👌👌👌haloooooooooomtanyooookaa tuuu?
Ule mchapio sijamaind maaana sijasoma bado nangoja ile michango yenu ya ada mimi na Diva Beyonce tuende shule.
Haloooooooo
 
Last edited by a moderator:
Hawa wanaume wa ajabu kweli kweli kujilegeza ka wanataka mtungo ndo nini. Etii kiruuuuu bora umemkanya kiustaarabu huyu na kaka kisheti cha Mombasa ana mwambia mwanaume mwenzake I miss you hadi nawaza kuwa hawa ni michicha mwiba sio bure ishindwe na ilegee inakuja kutuchafulia Uzi wetu na mitabia yao.
#BeAManActLikeRealMan
Hahahaaaaa bora #KishetiChaMombasa niliwahi kuongea nae sehemu akanielewa kuliko huyu.
Sasa dume zima linalo lilia kusasambua hapa na wanawake unategemea nini?
 
👌👌👌👌👌Halooooooooooooo.
Hahaaaaaa haloooo9oooo [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] ya kupokea sha........ Hyo ya kuinamishwa si mchezo tena dume zima hatari sana hadi kulegea ka #mlenda
👌👌👌👌👌Halooooooooooooo.
Hahaaaaaa haloooo9oooo [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] ya kupokea sha........ Hyo ya kuinamishwa si mchezo tena dume zima hatari sana hadi kulegea ka #mlenda View attachment 271283
 
Back
Top Bottom