Hahahaaaa kwani ni uongo huwekagi hivi?👌👌👌👌👌👌👌haloooooooooomtanyooookaa tuuu?
Ule mchapio sijamaind maaana sijasoma bado nangoja ile michango yenu ya ada mimi na Diva Beyonce tuende shule.
Haloooooooo
Madai yake anatishia nyau loh analo huyu tena limemkaa rohoni na kooni. Kiba hawezi kuwa na uu ujinga labda #ChaiJaba hukoHahahaaaa eti tungejua yeye ni naniii mweeeeeee anataka aseme yeye ni kiba au?
Watu wengine bhanaaa kutafuta sifa za ajabu ajabu
BansenBurner 👌👌👌👌haloooooo mchambe huyo nifah kumbe hakujui wew ni baba wa michambo eee?
Hakikisha unamlisha na ndimu za kutosha 👌👌👌👌👌 nifah jipange huyu dume jike anachamba balaaaa. Anasutaa adi anavua nguo
Dume zima hvo kujishau tu kumbe hana mbele wala nyuma #DadaBeseni acha hzo Tabia za kujilegeza ka mlenda ulio chacha.Hahahaaaa kwani ni uongo huwekagi hivi?👌👌👌👌👌👌👌haloooooooooomtanyooookaa tuuu?
Ule mchapio sijamaind maaana sijasoma bado nangoja ile michango yenu ya ada mimi na Diva Beyonce tuende shule.
Haloooooooo
Cjawah eka never ever"
Michango ya ada ombea PM just holla.. Elimu kwanza
Hahahaaaaa uwiiiiii eti #DadaBeseni ...Dume zima hvo kujishau tu kumbe hana mbele wala nyuma [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=DadaBeseni]#DadaBeseni [/URL] acha hzo Tabia za kujilegeza ka mlenda ulio chacha.
Michango ya ada watutolee wakati wenyewe wamekimbia umande
Tuheshimiane madam
Shoga ninachambwaje sasa? Uwiiii...BansenBurner 👌👌👌👌haloooooo mchambe huyo nifah kumbe hakujui wew ni baba wa michambo eee?
Hakikisha unamlisha na ndimu za kutosha 👌👌👌👌👌 nifah jipange huyu dume jike anachamba balaaaa. Anasutaa adi anavua nguo
Nenda zako huna umeishiwa naona. Unanipangia pakuchangia we vp ww. Siasa niko huku niko Jukwaa la Kenya niko everywea napoona panafaa kuchangia. Tukiwaacha wenyewe wanawake humu c mtajihisi kama wajane. Umeishiwa ww
I lov music dat Y niko huku na Kiba ni 1of the best musician
Niende wapi tena #DadaBeseni ? Wewe si umejidai kusema real men wakifanyiwa personal attack wana calm down? Sasa mbona wewe bado unasasambua? Ndio ukiri tu hadharani kua wewe ni choko acha kujificha ficha.
Halooooo vichambo vimekolea hadi jitu limejikuta linaropoka kua Kiba ni one of the best musicians!
Tokea lini ukamkubali Kiba wewe? Pooza koo basi kwa maji baridi hapo maana naona unatetemeka ukiona notification ya quote yangu....
Hahahahahaa
Huo ndio ukweli ambao hua hamtaki kuusikia.Hahah 1of the best imekaa kimapana sana ila akili ndogo kama ww huwez kuelewa.
Acha unafiki na ukuda wewe ni timu #ChaiJaba hapa unajishau huna timu kiunafiki tu kama hawashabikii kilichokuleta huku nini[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] wewe vepeeeee eti tungejua we nani hahaaaaasssas what the hell do u think ua. We don't need hypocritical advice. Eeeeeh [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji2] kiba tutamsifia sana tu #WhetherYouLikeOrNot eeeeeh ndo hvo tena sasa no way.
Pita kimyakimya mdogo wangu maana 'DADA ZAKO' tuko kwenye kitchen party kama unavyotuona hapa.😱😱😱😱 khaaa
Huo ndio ukweli ambao hua hamtaki kuusikia.
Tokea lini ukakiri hadharani kua #KingKiba is one of the best musicians?
#SindanoImegusaMfupaUtasemaYote
Kwendraaaaaa, huku tunakuita kujitetea baada ya kuteleza.Yah ni mmoja kat ya wanamuziki wazur Y not tatzo hamjiamini.. 1 among others kwaio kuna wasanii wengi wazur think outside the box. Kuwa kati ya hakumuweki namba 1 to me anaweza akawaha hata 10 huko.
Kwendraaaaaa, huku tunakuita kujitetea baada ya kuteleza.
Sasa utetezi huu wa kijinga wa kuwadanganyia watoto ndio unaniletea mie?
Ninachokijua umekiri kua #KibaIsOneOfTheBestMusicians ....
Ova
Shoga ninachambwaje sasa? Uwiiii...
Naona hivi vichambo ni type ya manzese, tandale, tandika na temeke au mwananyamala huko....
Maana ni balaa!
Nilikua sijui kama #DadaBeseni anajua kuchamba hivi, bora tu leo nimejionea na kuanzia sasa 'nitamheshimu' maana sio kwa vichambo hivi!
Ujinga ni upi hapo? Nisicheke kama kitu kimenifurahisha? Cna family am stl vry young ... smartphone iandike feedback badala ya playback kuanzia lini labda hujui words predictions hw it work kwenye keyboard naww.