mandingo6262
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 424
- 81
Ktma ndio mkoa/wilaya/nchi gani ? Au jimbo jipya la uchaguzi?
Watu wameona wakajipoze na siasa kingStrss
mi naona kiba hayupo serious. mwezi wa nane hu ana audio na video moja wakati nyimbo zipo kwenye makabati
Th Name kuna watu watakimbia kwa muda humu kuna kama ngoma tano zinakuja tumechoka zarau sisi #nagharamia hiyoooo
ππππππ hapy day ukitaka kusikia kipande ....... ni balaa
yani 4posts una mdis kiba au mnabadilisha idTatizo cyo sauti tatizo lake ni video na style za uchezaji, akiboresha hivyo atang'aa xana
we ngoja huu mwezi ndo utajua anajitambua au la?Ali K hajajitambua bado, hivyo akijitambua ataweza
Umeshaipata au bado?