Wataelewa tu
sema wamemkuta kiba mpole tu masikini
Naskia huyo jamaa ni team diamond kajikomba kwa kiba
sema wamemkuta kiba mpole tu masikini
Kiba namkubali kwa mengi sana, always najifunza mengi kupitia yeye.
Kama hiyo picha yake na Salaam ni kua usilipe ubaya kwa ubaya, sijui huyo jamaa kapata aibu kiasi gani.
Mbaya sana mtu unamfanyia ubaya halafu yeye wala hajali anacheka na wewe as if hakuna lililowahi kutokea.
Kiba namkubali kwa mengi sana, always najifunza mengi kupitia yeye.
Kama hiyo picha yake na Salaam ni kua usilipe ubaya kwa ubaya, sijui huyo jamaa kapata aibu kiasi gani.
Mbaya sana mtu unamfanyia ubaya halafu yeye wala hajali anacheka na wewe as if hakuna lililowahi kutokea.
"Nilikubali kupiga naye iyo selfie makusudi kwasababu nilijua tu watu watamsema ,Mimi sio kanjanja" by Kiba
Sijaelewa vizuri dogo, yeye sio kanjanja kivipi? Watu watamsema...akina nani?
Fafanua kidogo.