Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Acheni ujinga wa ku promote taarabu huku kwenye hii thread ya king

Ghafla bin vuuu namsaidia alikiba kupata connection W?B records afu DIAMOND anamsain kumsimamia aungane na Harmonize cute b je #UTANIPENDA?
 
Last edited by a moderator:
kuna shabaki mondi bila kuja humu nahisi wataumwa aisee.

mnamuelewa sana Alikiba
 
Sio jamii forum sio instagram mashabiki wa domo mnaongoza kumfuatilia kiba
 
Hodiii, hodiii wenyewe, mie nimepita kumtafuta dada yangu mpendwa Nifah. Dada kitu nipo tayari kule. Kimepakuliwa leo.

Mpendwa wangu nakutakia usiku mwema.
 
Hodiii, hodiii wenyewe, mie nimepita kumtafuta dada yangu mpendwa Nifah. Dada kitu nipo tayari kule. Kimepakuliwa leo.

Mpendwa wangu nakutakia usiku mwema.
Hakuna wapenda taarabu huku nenda kwa wenzako kule ule mdundiko unautafutia kiki huku [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Oyoooooooooooooooo

Hiviiiiiiiii nikisemaaaa aaaah diamond amsaidie kiba na bella gharama za video yao washoot na godfather JE MTANIPENDA??? HAHAHAHA huyu jamaa ashakuwa kama anko Magu yani yeye ni kutumbua majipu tu wenzake daaaaaaaaaaaah natamani ningekuwa hater wa mond ili nionje hata machungu siku moja maana si kwa burudani hii anayotupa tusije kupata kisukari bado watoto
 
Back
Top Bottom