Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Petit na diamond haziendi..wema ndo kidogo anawaleta karibu ila full kichina. ..hao watoto kina petit wakiwa kwa madam wao utawaonea huruma ikitokea nassib anahitaji kitu km soup wanavyorushwa kama vitoroli

aiseee wana umaskini wa akili sana lloooh
 
Kwendraaaa mwanzo ulikua unasema sisi tunahesabu pages nashangaa kule kwako na bush men wenzio umeanza kuhesabu..
Naona hii offer imekuuma sana,eti hatujiwezi kwani siku zote tunaingia na nini humu?jaribu basi na hii kama unaweza babu kuigaiga wewe....
Usijaribu kuleta yale matusi yako hapa sio pahala pake,peleka huko kijijini kwenu...

achana nae bwana mjaza nzi huyuuu usimjibu
 
Mhhh shoga ni wewe uliyemuomba babu baby ako akutumie lile taputapu la video huko pm nini?maana kule anatamba hatariiii

Hapana best cwezi kumu pm ujinga mie ubabu unamsumbua yule anaji proud tu ili nayeye aonekane kuna wanao pm
 
Shida una ninyima namba mjukuu wangu sie wazee twajua kulea ati sio hao wauza sura wenu watoto mchele mchele.

Kweli babu Una maneno weye mi mjukuu siwezi kumpa babu namba kirahisi hivo tena unavopenda kujisifia mie wala utaishia kunisoma kwenye nyuzi tu
 
Kweli babu Una maneno weye mi mjukuu siwezi kumpa babu namba kirahisi hivo tena unavopenda kujisifia mie wala utaishia kunisoma kwenye nyuzi tu

Hahaaaa kama video tu katangaza mengine je?hihiiii shaurizako bibie
 
daaa hii thread ina vituko sana raha kusoma comment,uzalendo umenishinda imenibidi nichangie maana mmenivunja mbavu mnavyo mshambulia rafiki yangu Chinga! akigeuka nchale akiinaama nchale,akikimbia nchale! hahaha jf kuna vituko sana!
 
Petit na diamond haziendi..wema ndo kidogo anawaleta karibu ila full kichina. ..hao watoto kina petit wakiwa kwa madam wao utawaonea huruma ikitokea nassib anahitaji kitu km soup wanavyorushwa kama vitoroli

Unajua Petit Man ni rafiki mkubwa wa Chalz Baba, na alianza kuwa karibu na Wema alipokuwa mpenzi wa Chalz Baba. Sasa ile hali imemfanya Nassib asiwe na amani na Petit Man.
Sasa Petit Man kazidi kumtia hasira Nassib kwa kumgongea dada ake, na nasikia kampiga mimba ndo akalamishwa amuoe, ilipopangwa tarehe ya harusi tu Nassib akaondoka Bongo ili asihudhurie.
Ova
 
Unajua Petit Man ni rafiki mkubwa wa Chalz Baba, na alianza kuwa karibu na Wema alipokuwa mpenzi wa Chalz Baba. Sasa ile hali imemfanya Nassib asiwe na amani na Petit Man.
Sasa Petit Man kazidi kumtia hasira Nassib kwa kumgongea dada ake, na nasikia kampiga mimba ndo akalamishwa amuoe, ilipopangwa tarehe ya harusi tu Nassib akaondoka Bongo ili asihudhurie.
Ova

Mhhhh nasikia huyo petit alishampitia wema pia kipindi kile alivyoachana na Nassib
 
Wapendwa uongozi wa JF officialy wana taarifa ya zawadi hii na Moderator ndio atahusika kumtangaza na kumtumia Ally Kiba fan atakayebahatika zawadi ya kifurushi,na kifurushi chenyewe ni hicho namba 2 cha mwezi. Hiyo ni kwa wale tunaotumia airtel kama upo mtandao mwingine utarushiwa thamani sawa na utajiju hukohuko na mtandao wako.

Nadhani nimeeleweka.
 

Attachments

  • 1416658710080.jpg
    1416658710080.jpg
    35.9 KB · Views: 61
Last edited by a moderator:
daaa hii thread ina vituko sana raha kusoma comment,uzalendo umenishinda imenibidi nichangie maana mmenivunja mbavu mnavyo mshambulia rafiki yangu Chinga! akigeuka nchale akiinaama nchale,akikimbia nchale! hahaha jf kuna vituko sana!

Hahaaaa mimi pia nacheka hatariii
 
Back
Top Bottom