Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Mhhh shoga sikuambii kitu tena kuhusu babu baby ako kaniita mchonganishi...isijekua nampeperushia ndege bureee
Haha haaaa kule kwa bush men hamna kitu...
Wewe huoni ajuza chinga habanduki humu. ...
Shogaaa niambie yule kapaniki tu babu anataka kutuvuruga ndege hampati hata kwa dawa
Mwenzangu naogopa chinga atanipiga nchaleee
ukiwa na dada hukosi shemeji atulize mshono dogo naseeb watu wapige mambo
Wapendwa uongozi wa JF officialy wana taarifa ya zawadi hii na Moderator ndio atahusika kumtangaza na kumtumia Ally Kiba fan atakayebahatika zawadi ya kifurushi,na kifurushi chenyewe ni hicho namba 2 cha mwezi. Hiyo ni kwa wale tunaotumia airtel kama upo mtandao mwingine utarushiwa thamani sawa na utajiju hukohuko na mtandao wako.
Nadhani nimeeleweka.
nimeamini maisha bila Unafki hayaendi...huu uzi ndo unaitwa ally kibaz special thread lakini unamjadili Dai na familia yake...halafu watu haohao wanakwambia Hawampendi Dai
Maisha bila Unafki hayaendi.............
Kweli nimeamini usipotia maguu kwenye uzi huu Wananchi ni lazima waamini umeishiwa bundle.
Utapata madakesi sasa hivi,mwenzio Chinga hiyo ni gharama ya mwaka mzima,akiona hiyo lazima Chinga afw*ariki dunia.
nimeamini maisha bila Unafki hayaendi...huu uzi ndo unaitwa ally kibaz special thread lakini unamjadili Dai na familia yake...halafu watu haohao wanakwambia Hawampendi Dai
Maisha bila Unafki hayaendi.............
Karibunh wote team domo maana mnachungulia wee mwisho imani inawashinda mnaingia tunawachabo tu hata ukiona hatujakuquote ila jua tumekuona ila tunakupotezea,heheheiiyaaa karibu sana hii ndo Ally K fans bana.
Gang Chomba kwa kweli sijui yuko wapi ni muda mrefu hapatikani hapa jamvini, huyu ni mwana Sinza kwa wajanja ndani ya Abajalo Team.
ukiwa na dada hukosi shemeji atulize mshono dogo naseeb watu wapige mambo
nimeamini maisha bila Unafki hayaendi...huu uzi ndo unaitwa ally kibaz special thread lakini unamjadili Dai na familia yake...halafu watu haohao wanakwambia Hawampendi Dai
Maisha bila Unafki hayaendi.............
Kweli nimeamini usipotia maguu kwenye uzi huu Wananchi ni lazima waamini umeishiwa bundle.