hahahahaaaa watu linawania kweli nikilpata hiloo ful kujiachia na hv nna airtel
Naskiza eastafrica radio kipindi cha eastafrica breakfast wanasema mwana ni song of da year, kiba ni kichwa cku zote nyimbo zke zina ujumbe
daaah bado tuuuuu
Aaaarrggg hivi nyie hamna waume nini?asubuhi yote hiyo???uwiiiii
Hongera my dear,lakini zifuatazo nitazikomba zote dadadeki
daaaaah!Mchina wangu kaishiwa charge....anyway best wishes kwa mshindi
Mmh!Mtu mzima nami nimo....Ukiona mtu mzima analia mbele za watu ujue kuna jambo!
mashairi ya mwana yamejaa ujumbe mzito sana
yaani huyu dogo mashairi yake makali sn, kwa utunzi tu nampa 100 kuimba sasa uwiiiii ndio ananimaliza kabisaaa, akaze buti tu jamani wala acpanieee km anashindana na mtu yeye afanye tu his best n as always atabamba tu.
Kweli wewe ni first year hadi course code unazikumbuka, wengine hata tumeshazisahau.
Jamaniiiii!!Geniveros hongera sana mamiii!!Mi nilikua bizz kidogoo!!Nafurahi its u sio vibaka wa tandale jamen...!