Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Kamwambie domo hayakuhusu ya kiba mind ua own business eeh
Heheeee kwan kiba una hatimiliki ya kummiliki eee acha roho mbayaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamwambie domo hayakuhusu ya kiba mind ua own business eeh
Yani kupata tuzo dai wamechanganyikiwa wanakimbilia kwa Kiba!!amewapa uchungu hadi wanataka kutaga mayai,mmewahi kumwona kuku anayetaka kutaga anavokua!?
Dai ana tuzo kibao sio moja wala mbili
Hivi kiba ana tuzo ngapi kill music award???????
Xo tukusaidieje labda?????????????
Kagoogle utaona.
Btw....Chokochoko mchokoe pweza binadamu hutomuweza!
Nashukuru Diva kwa maneno Kuntuuu!Wanahara na tiba hawaijui!mioyo inawapasuka na ndimi zinawatoka kutujazia nzi humu!!Kiba miaka mia!!sasa kama Kiba hafai why wanamtumia kama comparison ya dai!!
Heheeee kwan kiba una hatimiliki ya kummiliki eee acha roho mbayaaa
mlianza nyie na kelele zenu za makopo kama ya mwaka mpya oooh!! the king iz back kaja kufuta vumbi, wapi king??? tukiwaambia toeni hizo tshet fasta ili zimbust king wenu atoe video kabla watu hatujasahau mashairi mnatoa povu?? sisi tunawapenda lakini kwa vile wenzetu mna nyota ya mbuzi kuishia kunywewa supu mtabaki hapo.
Wanatuletea tabia za kindagate hapa kuringishiana chu*i mpya mkwendreeeeeeeeeeee hatutaki shobo
Yani kuna watu washamba sana hapa chini ya jua mpaka naona huruma jamani!!ushamba na uswahili ulokithiri ni mzigo sana kudolishia at this age!badala ya kubaki kwenu huko kunakonuka shombo mnajipitisha kama misukule ilopotea njia ya kwao!!
mlianza nyie na kelele zenu za makopo kama ya mwaka mpya oooh!! the king iz back kaja kufuta vumbi, wapi king??? tukiwaambia toeni hizo tshet fasta ili zimbust king wenu atoe video kabla watu hatujasahau mashairi mnatoa povu?? sisi tunawapenda lakini kwa vile wenzetu mna nyota ya mbuzi kuishia kunywewa supu mtabaki hapo.
Najamba oksijen tu sasaaa
Sina hasira msilazimishe hisia fake,nawaonea huruma jinsi matumbo yalivowakorogeka pa kuachia uha*o hampaoni!!Heheeeeee una hasiraaa shoga yangu basi yaishee
Wala usijikoshe!
Poyeeeeeeeee tunaingia uzi wowoteee fungeni kufuli tusiingieee