Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Naona watu wanajishebedua saaaana as if ndo wametoka kuchukua mkopo saccos!
hahahaaaas
shosti jina lako halisadifu maneno
unanifurahisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona watu wanajishebedua saaaana as if ndo wametoka kuchukua mkopo saccos!
Wala sababu sio hiyo, coz Zarina sio mwanamke wa kuonewa wivu, watu wanajipigia tu. Ndio maana hata yule muuza sembe wake aliyekuwa akimpa jeuri ya pesa alimtosa, na sasa ana demu mwingine anaishi naye SA.
Chameleon alichukia coz aligundua kuwa Nassib ndiye aliyesambaza habari za kuwa eti Chameleon kaomba collabo kwake, kwa wakati ambao kuna kampuni ilikuwa ikitaka waimbe wimbo wa pamoja, kwa hiyo Nassib alitaka wimbo ukitoka ionekane Chameleon aliomba Collabo.
Sasa Chameleon ndo kakasirika sana na kawaambia wanamuziki wa Bongo na Kussaga wa Clouds Media juu ya kukasirishwa kwake na kitendo cha Nassib, kisha akam-block katika akaunti zake.
Ova
ha ha ha ha umenichekesha shosti una maneno kweli lile roba la njegere akili zao zinafanana
Wala sababu sio hiyo, coz Zarina sio mwanamke wa kuonewa wivu, watu wanajipigia tu. Ndio maana hata yule muuza sembe wake aliyekuwa akimpa jeuri ya pesa alimtosa, na sasa ana demu mwingine anaishi naye SA.
Chameleon alichukia coz aligundua kuwa Nassib ndiye aliyesambaza habari za kuwa eti Chameleon kaomba collabo kwake, kwa wakati ambao kuna kampuni ilikuwa ikitaka waimbe wimbo wa pamoja, kwa hiyo Nassib alitaka wimbo ukitoka ionekane Chameleon aliomba Collabo.
Sasa Chameleon ndo kakasirika sana na kawaambia wanamuziki wa Bongo na Kussaga wa Clouds Media juu ya kukasirishwa kwake na kitendo cha Nassib, kisha akam-block katika akaunti zake.
Ova
Avemaria nampendaaaje sasa!!ananikosha roho!!Jasiri hatariii afu yeye sio mtu wa waraka!!
Haha hahaaa ndio maana ana kitambi kama kiroba cha njegere nini?
pita hivi............siongei na stressed people, i have realized am in full stress zone, no wonder ugly faces its your identity, am out i can not handle your anger anymore sijazoea mwenzenu, endeleeni kujiliwaza siku mfalme wenu akionesha ufalme wake kwa vitendo nijakuja kumpongeza sinaga roho ya kwa nini??? kama huu mtaa wenu.
kweli maana tuzo zao za kipindi kile na sasa tofauti hata ule ushawishi umepungua
Miaka ya late 90's niliwahi kumkuta Fellah jijini Johannesburg nilikwenda kumtembelea mbongo mmoja kwenye appartment wanayoishi kulikuwa na wabongo wengine wanashare appartment ili kumudu gharama za rent pale pia nilimkuta Said Fella akiwa kama ndio chief cooker wa getto na nikweli anajuwa kukangalangiza madikodiko usipime.
Sasa baadaye maisha ya kule yalipomshinda nilishangaa kusikia hapa Bongo Fellah naye ni meneja wa Tmk. Kweli hii ndio Bongo.
Hahah nafurahi sana kuona hii thread inabadilika kutokana na matukio tena matukio ya Dimond na sio ally kuiba
Katoa ngoma mpyaa mkaanza kuijadili kuwa ni mbaya, kamchukua zari mkaanza kujadili, jana kachukua tuzo imekuwa topic katika uzi huu wakati hayo yakiendelea hakuna hta issue yyte ya msingi aliyofanya Ally kuiba...
Huu ni uzi bora kabisa kwa unafki ambao haujawahi kutokea duniani ....endeleeni kujadili mkimaliza muulizeni blaza video anatoa lini mwaka unaisha huuu au anaogopa kufanya video zake Visual lab??? Maana anashindana speed na Buggati wakati yy anaendesha San LG
mtoa uzi hapo juu kaandika kwa tambo eti ali kiba kafanya mapinduzi na cha kushangaza sehemu ynyw yalipofanyika hayo mapinduzi ni leaders,Mwambie kuwa mapinduzi yamefanyika jana iwekwa historia mpya hakuna msaani yoyote wa afrika mashariki aliyewahi kuchukua tuzo tatu za channel O...kama wanachojisifu ni shangwe ile siku hata msaga sumu alizipata.Msaani wenu inabidi akaze buti kushindana na kina barnaba huku kwngn maji marefu...IMEJIPOST
Sasa wewe unatakaje labda uu ni uzi Wa Kiba una angaika we we tukusaidiaje sasa hafu mje na normal I'd Alikiba forever More leave us stop crying about our really Kiba tunamkubali sana miaka mia haters like you gonna bounce Alikiba for really foreeeeeeeeeeeeever
Heheh ndo nshapita hapa hapa sasa, ntaanzaje kupita vile nawe huna uwezo wa kufunga mtaa??!! Funny!
If you allow my words.....we ndo unaonekana una roho mbayaaaa roho ya kwanini maana hilo neno umeling'ang'ania sana Btw: get us some coral paints.....if you won't mind anyways!!
Huhuhuhuuuu if being identified as ugly is a sin then u'll be the first to hell, and if being identified as beautiful is not a sin nor any kind of crime then Am gonna get the V.I.P seat to heaven!!
Heheh ndo nshapita hapa hapa sasa, ntaanzaje kupita vile nawe huna uwezo wa kufunga mtaa??!! Funny!
If you allow my words.....we ndo unaonekana una roho mbayaaaa roho ya kwanini maana hilo neno umeling'ang'ania sana Btw: get us some coral paints.....if you won't mind anyways!!
Huhuhuhuuuu if being identified as ugly is a sin then u'll be the first to hell, and if being identified as beautiful is not a sin nor any kind of crime then Am gonna get the V.I.P seat to heaven!!
Bora umemjibu maana mimi nampotezea,dizaini anatafuta kick hivi...
Huu uzi wetuuu!!tutajadili lolote!!Nyie ya kwenu hamyaoni wanaume wazima mnapitisha vimpwapwiso vyenu mbele ya wanaume wenzenu na wanawake makini kama sisi!!Piteniii mkajambiiie kule na nyaraka zenu tunadharau hata hatusomi!!Kibaaaa wauweeee!!
basi sawa ni naondoka ila mfikishieni ujumbe jamaa wenu kuwa cku hz adam juma anafanya mpaka video za mkopo achonge nae wafanye moja atakuja kumlipa akiperfom fiesta ya mwakan....Bye