Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Hahahaaaaa! 40 millions si bora kumalizia nyumba au kumchomoa mshua wake kwenye maisha ya kifukara ili afanane naye angalau.
We jamaa umenichekesha sana.
Ova
Khaa God faza n sawa na J mashalla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa! 40 millions si bora kumalizia nyumba au kumchomoa mshua wake kwenye maisha ya kifukara ili afanane naye angalau.
We jamaa umenichekesha sana.
Ova
ni fan wa ally kiba pekee anaweza kuwa na busara hizi akichemka akakubali kachemka...dah!nazidi kusikia raha kuwa jukwaa hili la wajanja watu wanaojielewa ambao hawana stress za maisha wao ni furaha na tabasamu kama king waio ally kiba mwenyewe
Adam fundi icheki Pacha wangu ,forever etc
Mil 40 wap muongo uyu msanii mwenye tatzo la nyota
Adam ukimpa pesa hyo anafanya video USA akuna
Khaa God faza n sawa na J mashalla
mkuu vitu vingine si vya kubisha,ukiingia chaka heri ukubali tuni fan wa ally kiba pekee anaweza kuwa na busara hizi akichemka akakubali kachemka...dah!nazidi kusikia raha kuwa jukwaa hili la wajanja watu wanaojielewa ambao hawana stress za maisha wao ni furaha na tabasamu kama king waio ally kiba mwenyewe
mkuu vitu vingine si vya kubisha,ukiingia chaka heri ukubali tu
Wewe ni mkweli,mstaarabu sana.Nimeipenda hii
kusema kuchemka kitu kidogo sana wala haikushushi heshima,sema nilielewa vibaya na hiyo video navyosubiri kwa hamu.
ila nadhani mwaka hauishi bila video kuachiwa
Nadhani masaa machache yajayo jukwaa litawaka motto!Yangu macho na masikio,all the best to the King!Cc:Atoto
Kiba hana ugomvi na msanii yeyote tz!Sidhani kama wao wanachukiana...
Swadaktaaa!!No hate kabisaaa!!aliyeanzisha ndio amalize, Kiba aliwahi kusema d ndio alianza chokochoko za kumsema sema vibaya ila yeye hakuwahi kumuwekea kinyongo, sasa 1kwa1 hapo inajulikana nani anatakiwa ajishushe na akubali kuwa alikosea, hiyo compaign ingeanzia kuleee ingekuwa bora zaidi, afterall hata mimi simchukii mondi ila nampenda kibaaaaa mpaka naumwa
Swadaktaaa!!No hate kabisaaa!!
jamani mtanisamehe wengine humu multipurpose siku mbili hzi niko siasani kusherehekea ushindi
jamani mtanisamehe wengine humu multipurpose siku mbili hzi niko siasani kusherehekea ushindi