Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani na huyu baba yao ndio simuelewagi hataa na cjawahi hata kumuelewa, nasubiri aanze vijembe vyake km kawaida yake
itabidi umuazime ile sketi ako moja
Wanaopata muda wa kufatilia upuuzi wake nje ya mziki wake ni wale ambao hawana kazi za kufanya.
Kiba hameshaisha ila mnakaza tu kutaka akae pale juu.. "Progress" ya kiba sasahivi tungekua tunamsikia anga zingine. Mwangalie mtu kama AY alipo sasa, kiba alitakiwa awe mbele hata ya AY na Diamond.. Au we peak unayoizungumzia ni ipi?? Kiba ana exposure gani nje ya Tanzania?? Ana mafanikio gani?? Ana tuzo gani?? Au mnafikiri ye anataka kushangiliwa fiesta then basi..
Unashangaa mimi kuhoji kutofikia viewers za ndomo?? Huwashangai waliomzomea ndomo fiesta na kumshangilia kiba??
Oyooooooo!!
Wanaopata muda wa kufatilia upuuzi wake nje ya mziki wake ni wale ambao hawana kazi za kufanya.
Kiba hameshaisha ila mnakaza tu kutaka akae pale juu.. "Progress" ya kiba sasahivi tungekua tunamsikia anga zingine. Mwangalie mtu kama AY alipo sasa, kiba alitakiwa awe mbele hata ya AY na Diamond.. Au we peak unayoizungumzia ni ipi?? Kiba ana exposure gani nje ya Tanzania?? Ana mafanikio gani?? Ana tuzo gani?? Au mnafikiri ye anataka kushangiliwa fiesta then basi..
Unashangaa mimi kuhoji kutofikia viewers za ndomo?? Huwashangai waliomzomea ndomo fiesta na kumshangilia kiba??
Kama sasa hivi ndio kazidi kuvuruga...sipati picha kule siasani kunawaka sasa
ngoja nikamtafutie karume
hv ulitegemea ataja kuongea nn??? hv mbona mwakani october hakufiki! mie nshamchoka mpaka basi yani
Dah,yaani hapa wazee wanapiga makofi tu na vigelegele...
Hii nchi sio kabisa
haya chachaaaa
Mama yangu Tibaijuka...oh dear God!Tofauti na ufisadi alioufanya nampenda sana.
Hii kashfa imeniuna mno.
poleeeeee mwaya, ila fisadi ni fisadi tu
ucjali nitakuokota
mmmh! huo moyo una madoadoa na umeshonwa upo salama kweli?