Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

😀😀😀😀😀😀😀 nimekuta insta
 

Attachments

  • 1437427885215.jpg
    1437427885215.jpg
    32.3 KB · Views: 104
+mwambieni atafute msanii wa kimataifa ambaye yupo kwenye peak Africa afanye naye collabo.

+aache kudharau kufanya collabo na wasanii wa kimataifa eti kisa yeye msanii mzuri ana sauti nzuri, au asiogope kuja kuambiwa msanii flani alimtoa, mziki umebadilika sasa hivi!
 
Hawa Ngedere Wanajua Sana Kudakia Hata Maswala Yasiyowahusu.Na Nilijua Tu Watavuruga Hii Thread Na Ndomana Nikatoa Onyo Mapema.Wanaposikia Neno King Uwa Hawana Amani Kabisa Na Mioyo Yao Inawapwita.Ila King Atabaki Kua King Tu Iwe Isiwe Liwalo Na Liwe.Mchawi Atajulikana Tu
 
Anajuwa nini??? embu acheni kumjaza bwana

Kijana wawatu anajitutumua mpaka tone la mwisho, tatizo nyoooota tu!!!!!!!
 
Wadau haswa die hard fans wa Chibu mnaombwa sana sana pigeni kura kategori sita anazogombea Diamond lakini kategori ya best male East Africa apigiwe King kiba

Umoja ni nguvu jamani King naye ajitoe kimaso maso angalau upande wapili wapata mori na king kiba
Nawasilisha

Ipo hivii watu wanashindwa kuelewa

MSHINDI WA HIO TUZO NI DIAMOND kabla ya chochote kile

Kura hata tuunganike mashabiki wote wa chibu tumpe kiba hawezi kupewa ni matusi kwa waandaaji hawezi kmshinda mtu mwenye
....best video
....best africa(inamaana 10 walioçhaguliwa ambao hawapo ni zero huwezi waweka na hawa)
....best song
....best collable

bila kusahau
...best inspirational song
...best dance video

NI UTUMBO KUJIONA WANAWEZA KUPEWA HIYO TUZO SIO MAEMBE HAYO

Afu hata hivyo wanachukuliwa kama RUMBESA kujazia nominatin list coz wanaume wawili tu diamond na eddy kenzo wengine hakuna kitu.. mwaka jana walimpa peter msechu.. hata ivyo east africa wakali wachache kiasi kwamba isingekuwepo category hiyo wsngekuwa wanazipomda tuzo oooooh za TV haya sasa Tukisha zibeba tuzo zetu 4 utasikia oooh za magazeti hahahs
 
Kwani hapa kuna ubishi jamaniii?
 

Attachments

  • 1437454222213.jpg
    1437454222213.jpg
    13.7 KB · Views: 103
Tayari tumeshajua nani ni nani na yupo wapi. Shime watanzania tuwainue wasanii wetu, tusitumie muda mwingi kulumbana. Tupige kura.
 
Mnapoteza heshima zenu, mnatoka nje ya mstari. Ninawakemea, acheni matusi jadilini hoja.
 
Mbona mnaanza kupanic??? Mleta post hujajitathimini kwani lugha uliyoitumia umeonyesha sio ya kiungwana so kumbuka hii ni mitandao ya kijamii sio Wote wanaweza kucopy mood yako..
 
Wewe nae hebu tutokee hapa.Alisema alisema, kaandike bango au umchoree katuni kama yule mwenzio aliyemchorea cute b.

Na wakimchora watapigwa tuu.
Wamekaa kimbea mbea hao wa team ya pili kama ushuzi vile si wa kike si wakiume kinachowatofautisha ni majina tuu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom