Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
hapana mkuu ila soon
itoke mapema tuwasikie mafundi wa mziki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana mkuu ila soon
zilete mkuuSawa ngoja nifanye ivyo mkuu maana apa natumia browser ya simu(s4) lakini napojaribu kuapload picha inakataa na nina habari nyingi tu za king!!!
Hebu zitupiamo tuzione aiseePicha za king...katika mambo fulani hivi amazing!!!
Hebu tumia application ya Tapatalk ni nzuri haisumbui kabisaSawa ngoja nifanye ivyo mkuu maana apa natumia browser ya simu(s4) lakini napojaribu kuapload picha inakataa na nina habari nyingi tu za king!!!
jana mashabiki wa kiba walimfuata bella kwake ili kuulizia bella alipewa pesa ili watu wasikilize kidogo bella akakataa ila kasema mwezi wa nane inatoka bella "hii nyimbo inamrudisha kiba kwenye mziki na itampatia show nyingi ndani na nje ya nchi" bella said kings of best melody
jana mashabiki wa kiba walimfuata bella kwake ili kuulizia bella alipewa pesa ili watu wasikilize kidogo bella akakataa ila kasema mwezi wa nane inatoka bella "hii nyimbo inamrudisha kiba kwenye mziki na itampatia show nyingi ndani na nje ya nchi" bella said kings of best melody
hapana sijamaanisha hivyo mkuuu yani ni kali kuliko chekecha na mwana wait and seeInamrudsha kwani amepotea?
hapana sijamaanisha hivyo mkuuu yani ni kali kuliko chekecha na mwana wait and see
Khaakhaakhaa sisemi mengi Leo niko nafurahaa
Abou Saydou leta newz mkuu au hakuna ?Khaakhaakhaa sisemi mengi Leo niko nafurahaa
furaha ya nini mkuu, tuhabarishane
mkuu ila kiba yule anaweza kutunza siri na kukaa navyo mda mrefu ukisikia story ya wizkid na davido kuhusu kiba basi utaamini kiba anafanya mziki hashindani na mtu"Nina furaha ya nafsi tu mkuu
ipi hiyo au hello baby ya avrill??hongera kwa dimpoz kwa nyimbo yake kukamata no.1 soundcity
Sasa hii habari hapa inatuhusu nini? Kwanini usifungulie uzi wake?hongera kwa dimpoz kwa nyimbo yake kukamata no.1 soundcity