Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

hahaha au hujaielewa nagharamia??

Usipanic hizo ni facts tu, na nilijuwa akili ndogo siku zote wanaogopa facts!!!


TEAM WASAFI

Kwahiyo Kidingi na wewe unajiita akili kubwa?
Hahahahaaaa
 
Last edited by a moderator:
Kuna mcongoman nipo nae hapa kinondoni ananiambia kama itaanzishwa bendi za muziki kitaifa ataomba uhamiaji wa Congo wampe uraia king kiba
 
Nagharamia#wewe nifah na cute b kesho tukutane ni wagharamie

Ili mchukua kibakuli wiki kupata na kupanda na key wakati Bella alichukua cku huyu Bella hatari kamgaragara kibakuli nacho kumbuka n sauti ya kibakuli akiimba eeeh eeeh haaah shikamo bella
 
Last edited by a moderator:
Ili mchukua kibakuli wiki kupata na kupanda na key wakati Bella alichukua cku huyu Bella hatari kamgaragara kibakuli nacho kumbuka n sauti ya kibakuli akiimba eeeh eeeh haaah shikamo bella

Umepanik ndugu
 
Ili mchukua kibakuli wiki kupata na kupanda na key wakati Bella alichukua cku huyu Bella hatari kamgaragara kibakuli nacho kumbuka n sauti ya kibakuli akiimba eeeh eeeh haaah shikamo bella

Hahahahaaa pale mtu anapotambaa na story ya kijiweni utadhani alikuwepo vile!
Haya basi sio case,kama Kiba kachukua wiki nzima vipi yule MBOVU wetu wa mtaa wa pili?
Si angechukua mwaka mzima?
 
Eti eeh?Hebu nirushie Airtel money nione kama unaweza kugharamia!
[emoji14][emoji14]
Haha tukutane mlimani city basi kesho na cute b haha nifah bwana et airtel money
7550fcf3d689c44c6164e75a0cfdd271.jpg
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa pale mtu anapotambaa na story ya kijiweni utadhani alikuwepo vile!
Haya basi sio case,kama Kiba kachukua wiki nzima vipi yule MBOVU wetu wa mtaa wa pili?
Si angechukua mwaka mzima?

Ndicho alichosema kibakuli kwny xxl ya clouds FM
 
mashabaki wa mondi wanaweweseka sana. tulieni dawa iwaingie
 
Kwa jinsi kibakuli alivyomzito video ni mwakani mwezi kama huu mpaka ajipange kupitisha harambee ndo apate visenti vya kwenda sauzi kwa godfather

Hamna video ipo tayari sema uzembe tu
 
Ila honestly huu mzigo wa kawaida saana, labda bifu liubebe tena maana watu hawakawii kuanzisha bifu
 
Back
Top Bottom