Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu kituo amechagua cha din yake na anajenga msikiti na nyie wenzangu na mie kazaneni kushangilia timu zenu za kiba na diamond wenzenu wanajenga misikiti hata mfuko wa sement kanisan au kituo cha kanisa hamna kazi mnayoNi hivi unapofanya ibada kama kusaidia yatima then unakwenda na makamera ili uonekane na public kimsingi dini yoyote ile haikubalini na sadaka za aina hii na ukweli hupati swawabu yoyote kwa sababu Mungu anatambuwa mpaka ndani ya nafsi yako kwamba lengo lako kuu ni publicity na siyo sadaka, sadaka haitaki mbwembwe na kiki.
Firdausi ni pepo ya juu sana huwezi kuiona Firdausi kama bibi harusi tu kwa gunia la mchele na sabuni na makamera kibao.
Hii tabia naikemea kwa wote wenye huu mchezo wa kujionesha kwenye matendo ambayo inatakiwa Mungu tu ndio akuhesabie na yule unayemtendea tu.
View attachment 790958
kwahy wasanii wote waache sanaa mana kl wanachofanya n tofaut na dini zao au kuna dini inaruhusu uhuni unaofanywa na wasanii ?Wapi nimesema Ali kiba ni jambazi??!
Unajua ni kwanini mzee Yusufu aliacha kuimba? Coz dini anayoiamini hairuhusu alichokua akikifanya,nadhani utakua umeelewa kama ulikua na lengo la kueleweshwa na si kingine.
HahahaaKwa hapa bongo aina ya pesa hiyo labda uende uichukue moja kwa moja kule wanapofanya printing ya pesa yenyewe, ila ukiona imeingia kwenye mzunguko tu hiyo pesa sio safi. Haujawahi sikia pesa iliyotumika kuulia ndio hiyo hiyo ilifutwa damu kisha ikatumika kununulia Msahafu au Biblia.?
Aliacha muziki mwavile haendani na Imani yake hiyo ndio kai yake. Hayo ya nyuma ya pazia utayajuwa wewe.Unajua kilicho nyuma ya pazia kuhusu kuacha mziki mzee yusuph? Tulia ukiambiwa hutaamin miaka kumi ijayo.. Ila kumbuka tu kila siri itajulikana
ana muiga Dr.Mengi huyuNi hivi unapofanya ibada kama kusaidia yatima then unakwenda na makamera ili uonekane na public kimsingi dini yoyote ile haikubalini na sadaka za aina hii na ukweli hupati swawabu yoyote kwa sababu Mungu anatambuwa mpaka ndani ya nafsi yako kwamba lengo lako kuu ni publicity na siyo sadaka, sadaka haitaki mbwembwe na kiki.
Firdausi ni pepo ya juu sana huwezi kuiona Firdausi kama bibi harusi tu kwa gunia la mchele na sabuni na makamera kibao.
Hii tabia naikemea kwa wote wenye huu mchezo wa kujionesha kwenye matendo ambayo inatakiwa Mungu tu ndio akuhesabie na yule unayemtendea tu.
View attachment 790958
Nyooooo, na hizo picha ni off- show?KingKiba hapendi show-off
Kwenye ukoo wangu tu wapo yatima na wenye uhitaji mkubwa tu wa misaada.Wewe ata kijiko sidhani kama ushawahi kutoa kwa yatima
Alichokisema Mzee wa Upako kuhusu mtu huyu ni sahihi kwa 100%.Nlichokigundua ni kuwa Huyu jamaa huwa anajificha tu! Ila huwa anapenda sana sifa zisizo na msingi......NB:mkono wa kulia ukitoa, wakushoto usione
Ingepaswa avigawe vitu vyote alivyovipata wakati anafanya mziki,ingependeza Ila bado anajidanganya na kutafuta kiki mzee yusuphWapi nimesema Ali kiba ni jambazi??!
Unajua ni kwanini mzee Yusufu aliacha kuimba? Coz dini anayoiamini hairuhusu alichokua akikifanya,nadhani utakua umeelewa kama ulikua na lengo la kueleweshwa na si kingine.
bila shaka wakati ananiletea hatonambia kama kahongwa!Kwa hiyo ukiletewa pesa aliyohongwa binti yako baadaya uzinzi ni halali kwako kuitumia?
Mkuu bila shaka Jamaa atakuwa amepewa maisha na wale majamaa wa markaz na kufanya michongo yao bwimbwi ..au.!?? hebu tupe info kidogo basiiiii...daahh unatunyima uhondo chiefUnajua kilicho nyuma ya pazia kuhusu kuacha mziki mzee yusuph? Tulia ukiambiwa hutaamin miaka kumi ijayo.. Ila kumbuka tu kila siri itajulikana
MZEE wa upako ana mafasi ipi sasa mbele ya Mungu"" daaahh aisee sisi wabongo ipo shida kubwa aisee,....huyo anajion san hat mzee wa upako kashasem firdaus ataisikia tu
Ongezea na Saigon mzee wa ooooy oyi..kali ni kali nye! huyu kawa sheikh kbs tena na kipindi kapewa radio imanYeye mwenyewe mzee Yusufu alisema kaacha muziki ili amrudie Mungu,sasa kama wewe unajua zaidi kuliko muhusika mwenyewe hongera sana,
Mwingine aliyeacha muziki ili amrudie Mungu wake ni Suma lee,vipi na yeye tusubiri kuna siri imefichika? Teh! Teh!
he is fadeupMatola mbona ulikua unampendaga Kiba,imekuaje?