Ali Kiba Firdausi huwezi kufika kiki, hizi kiki mwisho wake ni Shilawadu tu

Ali Kiba Firdausi huwezi kufika kiki, hizi kiki mwisho wake ni Shilawadu tu

JF raha sana maana ukitaka kuandika comment kabla ya kuandika tayari mdau ameshawahi kuandika kwa niaba yako...akishudha nondo naomba uni-tag mdau
[emoji1] [emoji1] Ok sawa kaniaidi atashusha nondo.

Hamna tatizo nitaku tag mkuu.
 
Ni hivi unapofanya ibada kama kusaidia yatima then unakwenda na makamera ili uonekane na public kimsingi dini yoyote ile haikubalini na sadaka za aina hii na ukweli hupati swawabu yoyote kwa sababu Mungu anatambuwa mpaka ndani ya nafsi yako kwamba lengo lako kuu ni publicity na siyo sadaka, sadaka haitaki mbwembwe na kiki.

Firdausi ni pepo ya juu sana huwezi kuiona Firdausi kama bibi harusi tu kwa gunia la mchele na sabuni na makamera kibao.

Hii tabia naikemea kwa wote wenye huu mchezo wa kujionesha kwenye matendo ambayo inatakiwa Mungu tu ndio akuhesabie na yule unayemtendea tu.
View attachment 790958
Endeleeni kupambana na Zari,king kiba anafanya mambo safi na ya kumtukuza mungu,no kiki lakini life linasonga,domo angeenda sasa tungekoma kwenye mitandao
 
Ni hivi unapofanya ibada kama kusaidia yatima then unakwenda na makamera ili uonekane na public kimsingi dini yoyote ile haikubalini na sadaka za aina hii na ukweli hupati swawabu yoyote kwa sababu Mungu anatambuwa mpaka ndani ya nafsi yako kwamba lengo lako kuu ni publicity na siyo sadaka, sadaka haitaki mbwembwe na kiki.

Firdausi ni pepo ya juu sana huwezi kuiona Firdausi kama bibi harusi tu kwa gunia la mchele na sabuni na makamera kibao.

Hii tabia naikemea kwa wote wenye huu mchezo wa kujionesha kwenye matendo ambayo inatakiwa Mungu tu ndio akuhesabie na yule unayemtendea tu.
View attachment 790958
Uwezo wa MUNGU angepewa mwanadamu hakuna mtu angeenda peponi, yaani umeshamsema na kuhukumu tayari. Acha kufanya kazi ya MUNGU
 
Back
Top Bottom