Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
Eeh mamAna kipaji cha kuimba sauti yake bwana
Kwa maana ya kipaji AK ana kipaji cha kuimba kwa kweli
Sauti yake iko poa na unique
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh mamAna kipaji cha kuimba sauti yake bwana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ana timu kubwa mitandaon yenye kutukana matusi masaa 24 ila hapend show off
Anapost picha za wenzie kisha anafuta ila hapend show off
Aiseee mnavyompa sifa sasa wakat hata hana sifa hizo
Ila mi hayo yote nilikuwa sjuiKama hapendi show off wewe umejuaje kama ana mchumba mombasa?? Au ndio amekutuma uje kumtangazia humu.
Mikataba ipo mingi, mkataba wa mwenye nyumba na mpangaji hauhitaji show off
Tatizo siyo show off, tatizo ni mshamba tu, hili wengi hamlijui.Ila tuwe wa kweli mchizi hanaga show off.
At least ana kijinidhamu flan hivi tofauti na wasanii wengine esp Diamond
Hamna bhana AK si mshamba anaishi ki proffessional tuu.Tatizo siyo show off, tatizo ni mshamba tu, hili wengi hamlijui.
Hivi hujui hata Rais wa nchi anaweza kuwa mshamba?Hamna bhana AK si mshamba anaishi ki proffessional tuu.
Its called Maturity
Mbona rais wetu wa sasa ni mshamba.Hivi hujui hata Rais wa nchi anaweza kuwa mshamba?
wewe hujui ila mimi najua. sababu angekua anacontrol kweli tusingejua kadate na jokate, kamkula meneja wake, kapanga tabata, kwao kariakoo, alikua anatuonesha mjengo wa demu wake baada ya kumwagwa hana hata kibanda.Ila mi hayo yote nilikuwa sjui
Kwa hili jamani Ali anajicontrol sana kuliko Baba tifwah
AiseeeAliperfom kombe la dunia 2010 na 2014 lkn kwa kua hapendi showoff hakujitangaza kama huyu mpenda sifa domo
Tabia ya wanaume huwa ni kutulia na wapenzi,wavulana kurukarukaJaribu kunishawishi tena Mkuu ila kwa hapa bado sana. Na kingine ninachojua tu ni kwamba Diamond Ndomo anapendwa sana na Wanamume na Kiba Mpua anapendwa mno na Wavulana.
Ila yeye hajawahi ku publicize hivo vitu.wewe hujui ila mimi najua. sababu angekua anacontrol kweli tusingejua kadate na jokate, kamkula meneja wake, kapanga tabata, kwao kariakoo, alikua anatuonesha mjengo wa demu wake baada ya kumwagwa hana hata kibanda.
mbona watoto wake anawaonesha mitandaoni??
inshort alikiba hana cha kuonesha ndio maana kaufyata. angekua nacho asingekaa kimyaa.
Hana cha publicize hata ivyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila yeye hajawahi ku publicize hivo vitu.
Mpaka mumfuatiie.
Hata tukisema okey he us open kwa kweli siyo kwa level ya diamond
Hii Kali kuliko babyAna miliki kiba TV na kiba FM siku nyingi ila hataki tu zisikike sababu hapendi kushow off.
hahaaaaMbona rais wetu wa sasa ni mshamba.
Sema AK si mshanba ndugu
Ww si tim kiba!?Hivi hujui hata Rais wa nchi anaweza kuwa mshamba?
HapendiiHana cha publicize hata ivyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kumbe show off yenyewe ni ya kubebika. c'mooonHapendii
Ndio maana hanaga mambo ya ku bebika kwenye mitandao kama Almasi