We mi sijasema najua mziki ila naufuatilia,acha kuniletea porojo,nimekwambia ww ulete yako maana umesema kiba hajui labda ww ndo unajua tupe yako mgonjwa wwWw unaejua kuhusu mziki una single ngapi au unaropokwa tu.....kila mtu na mtazamo wake so ukiona mtazamo wng haujaupenda pita iv
Acha kudandia bas kwa mbele ww,itakukost ohoo,ujuaji mwingi kichwani sifuri tu,chek hta id yako ya kishamba shamba tu,ungekuwa msomi usingeandika upuuz wako hpaWw unaejua kuhusu mziki una single ngapi au unaropokwa tu.....kila mtu na mtazamo wake so ukiona mtazamo wng haujaupenda pita iv
Iv make me sing nayo wametukana mule. Ebu nikumbush m nmesahauDiamond sijui anaimba vitu gani siku hizi..
Nyimbo zake ni tungo za kufanana na matusi tu!
Tangu atoe ule wimbo unaelezea maisha yake mara atakapifilisika hakuwahi kutoa wimbo wenye nidhamu tena!
Sijui labda ndio soko linavyotaka!
Kiba ni kama mrudiaji wa darasa la saba afu anaingia class anakutana na kichwa cha darasa ambacho ni fresh hakijarudia so ni full kutiwa aibuAcha kudandia bas kwa mbele ww,itakukost ohoo,ujuaji mwingi kichwani sifuri tu,chek hta id yako ya kishamba shamba tu,ungekuwa msomi usingeandika upuuz wako hpa
Nimekuwekea msisitizo kwenye homa kila za ww ili kama hujui ujue...hata siku ukiambiwa taja wasanii watatu basis urud kwenye Uzi na uchukue moment yangu kama reference SWA ww kiaz pori.Embu nakuomba ukazie macho kwenye uzi ulipoanzia na sio kuleta ushabiki wa kijinga,hapo umeona wapi ameandikwa Belle 9 au huyo Barnaba.Zimewekwa pande mbili,mistari ya Ali Kiba na Diamond na mimi nikaelezea Diamond yupo vizuri kwa vigezo vyangu sasa wewe unakuja kimagurue unaanza kuandika mambo ya ajabu.Kama Ali Kiba ni zaidi kiuandishi onesha ukirejea hayo aliyoandika mleta mada na huku ukizingatia vigezo.Kama utashindwa na kuleta blah! blah! zingine itamaanisha wewe ni mmojawapo ya nyani watiifu wa mfalme nyani.
Nikijibu watu watashindwa kuelewa Nani Mwehu kati yako na Mimi so umeahinda bro sijui sista.Acha kuwadharalilisha wazazi wako.Sasa huo wa muda wa kukaa na kuangalia tv na wazazi wako kwanini usiutumie kujadili mambo ya familia au kwanini wadogo zako wanafeli na kumtajataja Diamond tu kuliko kutumia nguvu kushika remote control na kusubiri nyimbo za Diamond zikipigwa wewe ubadilishe channel......eti! Kumbuka hakuna sehemu Diamond aliyoandika kuwa ni lazima ufuatilie nyimbo zake,sasa kwanini unajichosha?
Artists from different cultural practises...nenda kaipakue hii song ya usher ft young jeezy-love in this club
usikilize matusi ya humo.
Nawe usiwe kama shipa mengine uyaache yapite tulishasahau,tunazungumzia ya Samora sasa hivi!!Nikijibu watu watashindwa kuelewa Nani Mwehu kati yako na Mimi so umeahinda bro sijui sista.
Ulishajibu hapo kwani ulibofya "reply" ndio ukaandika.Halafu tupunguze ushabiki tuangalie na hali halisi inavyoenda.Nikijibu watu watashindwa kuelewa Nani Mwehu kati yako na Mimi so umeahinda bro sijui sista.
Sasa mimi na wewe ni nani aliyekuwa anazungumza kuhusu mada,angalia nilichoeleza kwanini nani ni bora na ni kwanini (rejea) Kuhusu u'kiazi au nini achana na mapishi onesha nani ni bora na kwa vigezo vipi na sio kukata mauno ya fikraNimekuwekea msisitizo kwenye homa kila za ww ili kama hujui ujue...hata siku ukiambiwa taja wasanii watatu basis urud kwenye Uzi na uchukue moment yangu kama reference SWA ww kiaz pori.
Huwezi kuwachanganya wala kuwalinganisha kwakua Diamond amewakilisha ushairi wa kimapokeo .Ali amewakilisha ushairi wa usasa.Huyo mtoa mada mwenyewe ameonyesha yupo upande upi ila diamomd ametumia vina kama vya "-re" mfano kwenye maneno kama tetere,tembere,segere na ngedere pia ametumia vina vya "-ni" katika maneno kama tafrani na mnadani sio hivyo tu ametumia takriri kama ukiangalia ametumia neno "anadodoa" zaidi ya mara moja (sina uhakika kama anadodoa nilijua anadonoa).La mwisho pia ukiangalia upangaji wake wa beti umelifanya liweze kuimbika vizuri (ingawa kuna watu wanasema shairi(wimbo) sio lazima liimbike ili mradi tu liweze kuleta maana.Hivyo kwa upande wangu naona hapo diamond amemzidi mwenzake katika uandishi.(bila mapenzi ya ushabiki)
Hivi maana ya wimbo ni nini? Tukiachana na hilo ilibidi umwambie mleta mada kuhusu hilo na mimi nikasema nani yupo vizuri na kwanini.Huwezi kuwachanganya wala kuwalinganisha kwakua Diamond amewakilisha ushairi wa kimapokeo .Ali amewakilisha ushairi wa usasa.
Kama busara tungeenda kwa shehe ponda! Mziki tunataka burudani, na hakika Simba yuko vizuri kwenye hilo.. [emoji6]
well said mkuu umenisaidia kusema the same words comes from my mindOfcoz ally ni king kabsa...kwa kariakoo ally ni king but kwa Tanzania na afrika atupitishe kidogo hajui kuimba. Unajua nyimbo ya nisamehe baraka kaimba vizuri Sana allykiba kaiharibu nyimbo...hata kajiandae poz kwA poz kaimba vizuri sana ally kazingua
Hapo umenena mkuu..Izo line za kiba, msanii wa aina yyt ata underground anaweza chora coz hazina ubunifu wwt ni verse za kawaida sanaa tena sana......ila za domo zipo ki creative kidogo