Ali kiba kama Man u vile.....

Ali kiba kama Man u vile.....

Tumeongea tumechoka mwisho wa siku tunaonekana kama tuna ama chuki au gubu. Kinachosikitisha watu ambao wanaweza ongea ukweli na ujumbe ukamfikia kama akina Mange Kimambi ndiyo wanampamba tu na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa hivi wanamtakia mema kweli?
Siyo lazima wapost hadharani wampigie hata simu basi ili awasikie.
 
Nina mdau wangu mmoja yeye ni shabiki mkubwa wa bwana kiba ila kakata tamaa kabisa kwa sasa..
Mtazamo wangu kwa bwana kiba ni kwamba....

Nyimbo aliyotoa na kundi lake ni ya kawaida, ci ya kuimba yeye kiba iko kiwango cha under ground km alioimba nao

Utaratibu anaotumia kutambulisha wasanii wake sio mzuri,alitakiwa kumtoa mmoja mmoja na kumtambulisha kwenye media na kufanya promotion ya nguvu coz mziki wa sasa bila promotion huwezi fika mbali.

Ali kiba yuko slow sana haendi na wakati ..alitakiwa awe na watu makini wanamfanyie kazi ila inaonekana ni mbinafsi na hashauriki..na anapenda kutoa majibu mepesi kwenye hoja nzito.

Natambua yuko chini ya7 ila kiukweli naye7 yuko slowly sana Nina wasiwasi sana na utendaji wake wa kazi km angekuwa makini hata kwa30% sidhani km kiba angevurundavurunda hivi

Ali kiba anakumbatia mambo mengi kwa wakati 1 ambavyo inaonekana waziwazi vinamshinda
Mara Mziki Mara mpira(the rolling stone gathers no mosses)...

Kuna taarifa niliipata ameingia kwenye mpira lengo kuu ni kupromote kinywaji chake na ndio maana hata mashabiki wa mpira nao anawazingua tu haishi sababu kila siku na kucheza hachezi..

Mziki umechange sio km zamani unatoa nyimbo unaipa miezi6 sokoni ..Mziki wa sasa ni ngoma juu ya ngoma..

Watu wanapata nyimbo kwa haraka sana na wanazichoka kwa haraka sana hata km ni hit song...naamini wapo wanajf wako karibu na kiba kiukweli anadissapoint mashabiki..
Namshauri arudishe lile bifu lake upya ili arudi kwenye ramani lilimsaidia sana.

Anatakiwa ajifunze wengine wanafanyaje ila shida ya kiba ni kibri anahisi ataonekana anaiga ..hapana mfumo wa Mziki uko hivo utarukaruka mwishowe ili ufanikiwe lazima ufanye promotion ya kutosha

Uvyozungumzia waandishi bora na wenye sauti lazima utamtaja Ali kiba,Lazima abadilike lasivyo mpaka kufikia mwakani atakuwa wa kawaida sana...hakuna atakaye mstuka tena..itakuwa km benpol au chid benzi akitoa nyimbo, uwa ni kawaida hata km wakitoa nyimbo nzuri.

Nimeamua kumwongelea kiba cz wengi tunaamini ni giant musician after diamond au anaweza akawa the first than diamond inategemea na mtazamo wa mtu binafsi
......Kumshabikia Ali kiba sawa sawa na kula nywele.......
Povu ruksa cz najua wanazi wapo kipenda roho ula nyama mbichi.
"the drawing man will scratch a straw"
Ahahahahahahahah acha kufananisha man u na team za ajabu kama coast
 
Ulivyoogusia kurudisha bifu ndiyo umejidhihiriaha ulivyo na agenda ya siri! Hater!

Hivi kwanini Kiba akitoa wimbo thread huwa hazikauki humu? Wasanii wanatoa nyimbo kila kukicha hatuoni chuki ya namna hii, why Kiba?

Hata kama ameishiwa, sijui anacheza mpira inakupunguzia nini kwenye maisha yako ya kila siku? Kama ulikua fan wake na sasa anakudisappoint kwanini ulielie? Wasanii wapo kibao wanafanya vizuri, shabikia hao!
 
Tukiweka unafiki pembeni japo mimi sio mdau sana wa muziki ila hii nyimbo imekamilika kila idara kuanzia utunzi manzari ya ki mwonekano mpaka code (uvaaji) na uimbaji
Kwa wale wanao penda makelele ya mziki mtu anaimba mradi imetoka mdomoni huu hawez kuuelewa ila kwa watu smart hii inawafaa leo nilikua ofisi moja kuna jamaa tena sio mtz alikua ana ichek youtube namimi nilivyo rudi shop nika jaribu ghafla nika ielewa

Ila hili taifa huru kila mtu ana chaguzi zake kwa kinacho mfurahisha
Sisi watu wa kaskazini tunapenda rege na hiphop zile za kubum kubam[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina mdau wangu mmoja yeye ni shabiki mkubwa wa bwana kiba ila kakata tamaa kabisa kwa sasa..
Mtazamo wangu kwa bwana kiba ni kwamba....

Nyimbo aliyotoa na kundi lake ni ya kawaida, ci ya kuimba yeye kiba iko kiwango cha under ground km alioimba nao

Utaratibu anaotumia kutambulisha wasanii wake sio mzuri,alitakiwa kumtoa mmoja mmoja na kumtambulisha kwenye media na kufanya promotion ya nguvu coz mziki wa sasa bila promotion huwezi fika mbali.

Ali kiba yuko slow sana haendi na wakati ..alitakiwa awe na watu makini wanamfanyie kazi ila inaonekana ni mbinafsi na hashauriki..na anapenda kutoa majibu mepesi kwenye hoja nzito.

Natambua yuko chini ya7 ila kiukweli naye7 yuko slowly sana Nina wasiwasi sana na utendaji wake wa kazi km angekuwa makini hata kwa30% sidhani km kiba angevurundavurunda hivi

Ali kiba anakumbatia mambo mengi kwa wakati 1 ambavyo inaonekana waziwazi vinamshinda
Mara Mziki Mara mpira(the rolling stone gathers no mosses)...

Kuna taarifa niliipata ameingia kwenye mpira lengo kuu ni kupromote kinywaji chake na ndio maana hata mashabiki wa mpira nao anawazingua tu haishi sababu kila siku na kucheza hachezi..

Mziki umechange sio km zamani unatoa nyimbo unaipa miezi6 sokoni ..Mziki wa sasa ni ngoma juu ya ngoma..

Watu wanapata nyimbo kwa haraka sana na wanazichoka kwa haraka sana hata km ni hit song...naamini wapo wanajf wako karibu na kiba kiukweli anadissapoint mashabiki..
Namshauri arudishe lile bifu lake upya ili arudi kwenye ramani lilimsaidia sana.

Anatakiwa ajifunze wengine wanafanyaje ila shida ya kiba ni kibri anahisi ataonekana anaiga ..hapana mfumo wa Mziki uko hivo utarukaruka mwishowe ili ufanikiwe lazima ufanye promotion ya kutosha

Uvyozungumzia waandishi bora na wenye sauti lazima utamtaja Ali kiba,Lazima abadilike lasivyo mpaka kufikia mwakani atakuwa wa kawaida sana...hakuna atakaye mstuka tena..itakuwa km benpol au chid benzi akitoa nyimbo, uwa ni kawaida hata km wakitoa nyimbo nzuri.

Nimeamua kumwongelea kiba cz wengi tunaamini ni giant musician after diamond au anaweza akawa the first than diamond inategemea na mtazamo wa mtu binafsi
......Kumshabikia Ali kiba sawa sawa na kula nywele.......
Povu ruksa cz najua wanazi wapo kipenda roho ula nyama mbichi.
"the drawing man will scratch a straw"
Kawapiga support hao madogo.
Mbona akisimama mond kwenye ngoma za kitoto manasema imekaa poa.

Acheni ubaguzi mazee
 
Sijawahigi kuwa shabiki wa huyu jamaa sababu ninakipaji chakupima ubora wa muziki katika wakati huu.
Nashangaagasana wanao mfananisha na diamond, huyu saiziyake ni kina mboso, na akishangaakidogotu atakuwa kama feruzi.
Kha!!!!!!!! Unapenda hustle za mond toka alipotoka mpaka alipo kwa show off.

Hebu nitajie ni msanii gani mwingine unayemshabikia kwasababu ya kujua kuimba tu?
 
Wewe jamaa unaonekana upo vizuri kwenye hii industry jaribu kuokota wasanii wawili watatu uwamanage uwatoe itakulipa zaidi
 
Alikiba ni mzigo wa mavi habebeki clouds naona wameamua kumpiga chini
 
Back
Top Bottom