IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
Huyu bwana ana maajabu yake kiufupi hajitambui
1. Anatambulisha msanii mpya wakati wale wa zamani hawajulikani na % kubwa ya wananchi wao wenyewe hadi nyimbo zao
.
2. Anatambulisha msanii mpya siku hiyo hiyo anatoa nyimbo mpya maana yake anampoteza mazima.
3. Anatunga nyimbo lakini haitoki mpaka ipitishwe na mama kwanza.
4. Anaendesha recording label wakati hana studio, na iko very disorganised.
5. Hawezi kushiriki show za wasanii wenzake coz anajenga na kutafuta mafanikio yake..m
Embu ongeza yako.
1. Anatambulisha msanii mpya wakati wale wa zamani hawajulikani na % kubwa ya wananchi wao wenyewe hadi nyimbo zao
.
2. Anatambulisha msanii mpya siku hiyo hiyo anatoa nyimbo mpya maana yake anampoteza mazima.
3. Anatunga nyimbo lakini haitoki mpaka ipitishwe na mama kwanza.
4. Anaendesha recording label wakati hana studio, na iko very disorganised.
5. Hawezi kushiriki show za wasanii wenzake coz anajenga na kutafuta mafanikio yake..m
Embu ongeza yako.