Ali kiba kasema hashindani na mtu

Kiba kipaji anacho tatizo menejiment aliyonayo haina ubavu wa kumpelekesha bali yeye ndio anawapelekesha. Kama angetambua thaman yake na kuitendea kazi angekua mbali sana
uko sahihi
ana imeneji menejiment badala yenyewe im meneji
hiihihihii
 
Angeenda tu asainiwe na WCB if you cant beat them join them... sio dhambi..
 
Huyu Mtu najaribu kujilazimisha kumpenda na kumkubali lakini roho yangu inakataa katakata sijui ni kwanini Wajameni.
Hana jipya hapendeki jamaa mvivu sana uswahili umemzidi akiishiwa ndo akili ya kuandika mistari inarudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…