playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Haya mwanaume wa KINONDONI naona UNANCHAMBA...pia tafuta clip ya davido kwa millard ayo umskie alipozungumzia collabo yake na kiba fuatilia na seyi shay apart from that moja ya kitu kinachofanya bwana SIMBA JIKE LA TANDALE kumchukia THE KING himself ni REMIX YA SINGLE BOY fuatilia nani alitaka kolabo kwa mwenzie ikaleta shida...then fuatilia habari ya LALA SALAMA REMIX nani aliomba kolabo kwa mwenzake ukioata majibu njoo ntakupa zawasi ya ped bibie naona unakaribia siku zako...KING KIBA YUPO FLEXIBLE msikize kola o yake na navy kenzo LINI,mskize kwwny ONE 8 project,msikize kwa mapacha watatu na mskize kwa nuhu mziwanda siyo jamaa yako kafanya kolabo na fally ipupa MDUNDO NDO MZURI kuliko alivyoimba pumbav..akiimba live band ndo MATAPISHI kabisaaa sauti kavu kama ushuzi wa mtu mwenye DENGUE.
Kabisa mzee jamaa ana sauti kavu kwa studio ni TECNOLOGY tu inambeba afu hawa vijambio wanataka watuaminishe upuuzi wao hapa...huyo jamaa yao ukimsimamisha na BELLE 9 tu kwa maana ya uimbaji kwenye NEUTRAL GROUND atazomewa hadi afe.Diamond akiimba live, utacheka ufe, kwanza utadhani ni diamond wa kichina
wcb live ni rayvanny tu...
Haya na WEWE MPAISHE BASHA WAKO mvaa vikuku...KIBA ANAWAUMA SANA kama jamaa yenu anaweza mlinganisheni na kina WIZKID huko kila siku comparison ni KIBA huku mnaponda hawez what a https://jamii.app/JFUserGuide[emoji45]hahhah we kitobo kweli tena kitobo kile cha 0713 kisichokuwa na rinda...sio comparison unakaza tu ubongo kumpaisha basha wako kibamia wakati hana kitu ktk dunia hii..kibamia hamuwezi Mond kwenye sekta yoyote nadhn hata hilo unalijua ila kwa sababu njaa zinakusumbua kutwa unasimamisha misuli ya mat..ko kumtetea kibamia kila kukicha watu wakijadili kuhusu maboko yake anayotoa
Kabisa mzee jamaa ana sauti kavu kwa studio ni TECNOLOGY tu inambeba afu hawa vijambio wanataka watuaminishe upuuzi wao hapa...huyo jamaa yao ukimsimamisha na BELLE 9 tu kwa maana ya uimbaji kwenye NEUTRAL GROUND atazomewa hadi afe.
Jamaa wameoza, tuna vitu ambavyo havikutakiwa kupendwa kabisa na mtanzania navyo ni
1.CCM
2.Diamond
3.Uvivu
Diamond anasema yeye ni sukari ya warembo, halafu janaume na suruali zake anampenda!!!!!!!!!
Waberoya playboy babu na team kiba mnachojuaga nyie kutukana tu hamna la zaidi maana point hamna sibishani na watoto ambao bado wanapiga puchu..hahahah ukweli lazima ujitenge na uongo habari mnazo..nina kazi nyingi za kufanya zaidi ya kukaa kutukanana na wasiojielewa duniani
nywiii! nywii! eti!!! ''heti'' kiswahili ulipata ngapi!Teh Teh heti profesa wa oxford..
watu mna maneno jamani 😀kwanza utadhani ni diamond wa kichina