playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Kiba kapostiwa hadi na rihanna huko we unasema nn bwana na kiba hata usipompost mambo yanaenda tuuu hujui?
Team kimba hamna tofauti na kibakuli, unasifia ujinga tu hapo kisa mahabaniuwe kama hivyo kwanini alalamike wasanii wenzake hawampost insta kama wanavyosupport wengine????
Isitoshe haweziongea twitter ndio kawafollow unajuwa kawafollow wangapi kule?? hata 100 hawafiki bichwa anajiona sana wakati hata nyumba tu ya kupanga anatembelea noah hahahaha, angekuwa level za diamond sijui ndio ingekuwaje??