Ali Kiba kataja sababu za kwanini hamfollow mtu Instagram

Ali Kiba kataja sababu za kwanini hamfollow mtu Instagram

Kiba kapostiwa hadi na rihanna huko we unasema nn bwana na kiba hata usipompost mambo yanaenda tuuu hujui?
Team kimba hamna tofauti na kibakuli, unasifia ujinga tu hapo kisa mahabaniuwe kama hivyo kwanini alalamike wasanii wenzake hawampost insta kama wanavyosupport wengine????

Isitoshe haweziongea twitter ndio kawafollow unajuwa kawafollow wangapi kule?? hata 100 hawafiki bichwa anajiona sana wakati hata nyumba tu ya kupanga anatembelea noah hahahaha, angekuwa level za diamond sijui ndio ingekuwaje??
 
Ww wasema kwan ulowafollow wote wamekufollow?..kitembeze
Niliowafollow mimi baadhi wamenifollow ila nao kuna watu wamewafollow,hakuna hata mmoja niliyemfollow ambaye hajafolow mtu,kama haujafolow mtu nami sikufollow maana nakuchukulia haujitambui.
 
This is KING bro ukiona haifai kaa nae chonjo
Unatumia nguvu kubwa sana kumpigia debe huyo king wenu uchwara lakini hamna kitu hapo..Kwanza huo uking nani kampa?? Yaan mashabiki wa kiba umebaki wewe na Abdukiba tu kudadeki watanzania hawamuelewi wala nini nyie mnalazimisha ashindane na king og wa Bongo fleva Mond lakini kiukweli msanii wenu mchovu kashachoka level zake kwa sasa ni kina Mario,Rayvan
 
Kiba kapostiwa hadi na rihanna huko we unasema nn bwana na kiba hata usipompost mambo yanaenda tuuu hujui?
Unaweza kutuonyesha hiyo screenshot aliyopostiwa? Unajua wasanii gani wakubwa waliomfollow Mond kutoka Marekani?,unajua website ngapi kubwa za marekani zimemuongelea Mond?unajua mond ana collabo ngapi na wamarekani acha ulimbukeni dogo
 
Unaweza kutuonyesha hiyo screenshot aliyopostiwa? Unajua wasanii gani wakubwa waliomfollow Mond kutoka Marekani?,unajua website ngapi kubwa za marekani zimemuongelea Mond?unajua mond ana collabo ngapi na wamarekani acha ulimbukeni dogo
Limbukeni wewe coz umekuja na comparison wakat mm nmemzungumzia kiba kama kiba punguza mihemko bi dada..syala la king kutomfollow mtu linawauma sana upande wa pili mbn sisi wenyewe tuna enjoy tu
 
Unatumia nguvu kubwa sana kumpigia debe huyo king wenu uchwara lakini hamna kitu hapo..Kwanza huo uking nani kampa?? Yaan mashabiki wa kiba umebaki wewe na Abdukiba tu kudadeki watanzania hawamuelewi wala nini nyie mnalazimisha ashindane na king og wa Bongo fleva Mond lakini kiukweli msanii wenu mchovu kashachoka level zake kwa sasa ni kina Mario,Rayvan
King mlilia kolabo kila kukicha...King muoga kila nyimbo lazima ASINDIKIZWE KWA KOLABO..KING OG ni ALI KIBA JESHI LA MTY MMOJA hao wa Tanzania unaosema wamemchoka watakuwa wa Tanzania aa Madale na wewe mrundi mmoja hahahahahaaaa anawakimbiza akili kuanzia boss wenu hadi mashabiki na ndo maana hamjawahi mlinganisha huyo SIMBA JIKE wenu na JUX wala BEN POL kila siku KIBA ...atawaua shaur zenu
 
This is KING bro ukiona haifai kaa nae chonjo
Nishakaa nae mbali sana tangu alivyotoa Cinderella na mac muga baada ya kuanza kutoa maboko nikaachana nae na hauwezi amini nina nyimbo mbili tu za alikiba kwenye library(Cinderella na macmuga) nyingine zote "MABOKO"...Mie sio mnafiki na sio "TIMU NYA".
 
Limbukeni wewe coz umekuja na comparison wakat mm nmemzungumzia kiba kama kiba punguza mihemko bi dada..syala la king kutomfollow mtu linawauma sana upande wa pili mbn sisi wenyewe tuna enjoy tu
hahhah we kitobo kweli tena kitobo kile cha 0713 kisichokuwa na rinda...sio comparison unakaza tu ubongo kumpaisha basha wako kibamia wakati hana kitu ktk dunia hii..kibamia hamuwezi Mond kwenye sekta yoyote nadhn hata hilo unalijua ila kwa sababu njaa zinakusumbua kutwa unasimamisha misuli ya mat..ko kumtetea kibamia kila kukicha watu wakijadili kuhusu maboko yake anayotoa
 
King mlilia kolabo kila kukicha...King muoga kila nyimbo lazima ASINDIKIZWE KWA KOLABO..KING OG ni ALI KIBA JESHI LA MTY MMOJA hao wa Tanzania unaosema wamemchoka watakuwa wa Tanzania aa Madale na wewe mrundi mmoja hahahahahaaaa anawakimbiza akili kuanzia boss wenu hadi mashabiki na ndo maana hamjawahi mlinganisha huyo SIMBA JIKE wenu na JUX wala BEN POL kila siku KIBA ...atawaua shaur zenu
hawezi kufanya collabo nje ya Tanzania na msanii yoyote mkali coz hakuna anayemuelewa..kwa uimbaji wake wa kiboya kwa mfano Rick Ross asikilize wimbo wa mbio au Mvumo wa radi Alikiba hata aroge vipi hawezi kumshawishi afanye nae collabo..na hili bifu la kiba na Mond ndio linampa ulaji kiba alishasandaga muda sana huyu kijana vinginevyo watanzania tukilipa kisogo hili bifu ndo hivyo kibamia anapotea mazima kwenye ramani..eti Mond analilia collabo never huyu jamaa Africa yote inamtambua wasanii wanalilia collabo nae kila kukicha nenda youtube tafuta video uone jinsi D BANJ anavyolia diamond kumtosa kufanya nae Collabo,au tafuta interview ya Flavour uone anavyoexpress feelings zake baada ya kufanya collabo na mond halafu angalia chati za redio za nchi za Nigeria,Ghana,uingereza,Australia,south uone jinsi nyimbo za Mfalme og zinavyobamba halafu uniambia kibamia na Mvumo wa radi aliishia wapi
 
Unatumia nguvu kubwa sana kumpigia debe huyo king wenu uchwara lakini hamna kitu hapo..Kwanza huo uking nani kampa?? Yaan mashabiki wa kiba umebaki wewe na Abdukiba tu kudadeki watanzania hawamuelewi wala nini nyie mnalazimisha ashindane na king og wa Bongo fleva Mond lakini kiukweli msanii wenu mchovu kashachoka level zake kwa sasa ni kina Mario,Rayvan

kwa hiyo marioonna ryvan hamna kitu? maana ushasema hakuna kitu pale
 
hawezi kufanya collabo nje ya Tanzania na msanii yoyote mkali coz hakuna anayemuelewa..kwa uimbaji wake wa kiboya kwa mfano Rick Ross asikilize wimbo wa mbio au Mvumo wa radi Alikiba hata aroge vipi hawezi kumshawishi afanye nae collabo..na hili bifu la kiba na Mond ndio linampa ulaji kiba alishasandaga muda sana huyu kijana vinginevyo watanzania tukilipa kisogo hili bifu ndo hivyo kibamia anapotea mazima kwenye ramani..eti Mond analilia collabo never huyu jamaa Africa yote inamtambua wasanii wanalilia collabo nae kila kukicha nenda youtube tafuta video uone jinsi D BANJ anavyolia diamond kumtosa kufanya nae Collabo,au tafuta interview ya Flavour uone anavyoexpress feelings zake baada ya kufanya collabo na mond halafu angalia chati za redio za nchi za Nigeria,Ghana,uingereza,Australia,south uone jinsi nyimbo za Mfalme og zinavyobamba halafu uniambia kibamia na Mvumo wa radi aliishia wapi


unavyoongea kwa kujiamini mrembo!

maana mond ni sukari ya warembo, ebu jitambue

hakuna bifu la kiba na mond wewe ndio unatengeneza!

swala la wakati ni muda tu, hata manet, tabu ley, marijan rajab hawapo leo hii

muziki wa kiba unaishi!..utaishi


sio matusi yale,

Kingine hata wewe ukiimba leo hii utakuwa na wapenzi tu.....piga ua

akina Marlo mpaka leo wana wapenzi hata kama kaacha muziki.Hali kadhalika Kiba atapendwa na wanaompenda no matter what, hata akiimba mstari mmoja kuna mtu anampenda

Hata Mondi pia,

ila kwa hao wawili lazima wanachukiwa na watu sana tu!..mkuu ni asili hii
 
hahhah we kitobo kweli tena kitobo kile cha 0713 kisichokuwa na rinda...sio comparison unakaza tu ubongo kumpaisha basha wako kibamia wakati hana kitu ktk dunia hii..kibamia hamuwezi Mond kwenye sekta yoyote nadhn hata hilo unalijua ila kwa sababu njaa zinakusumbua kutwa unasimamisha misuli ya mat..ko kumtetea kibamia kila kukicha watu wakijadili kuhusu maboko yake anayotoa

walewale

walewale

kwa nini unawashindanisha? why your brain is so confined? mbona haumshindanishi na wizkid, davido na tekno? why Ali Kiba?

The fact that you can discuss Ali kiba, maana yake YUMO!!


kwa tunaomjua Kiba kutoka nakshi nakshi hauwezi kumsahau

Kama unajua nyimbo mbili za Mond za kwanza alirekodia studio ya Kiba, utampa heshima yake
 
Nishakaa nae mbali sana tangu alivyotoa Cinderella na mac muga baada ya kuanza kutoa maboko nikaachana nae na hauwezi amini nina nyimbo mbili tu za alikiba kwenye library(Cinderella na macmuga) nyingine zote "MABOKO"...Mie sio mnafiki na sio "TIMU NYA".
Tunaahukuru haya KANYE ukalale.
 
hawezi kufanya collabo nje ya Tanzania na msanii yoyote mkali coz hakuna anayemuelewa..kwa uimbaji wake wa kiboya kwa mfano Rick Ross asikilize wimbo wa mbio au Mvumo wa radi Alikiba hata aroge vipi hawezi kumshawishi afanye nae collabo..na hili bifu la kiba na Mond ndio linampa ulaji kiba alishasandaga muda sana huyu kijana vinginevyo watanzania tukilipa kisogo hili bifu ndo hivyo kibamia anapotea mazima kwenye ramani..eti Mond analilia collabo never huyu jamaa Africa yote inamtambua wasanii wanalilia collabo nae kila kukicha nenda youtube tafuta video uone jinsi D BANJ anavyolia diamond kumtosa kufanya nae Collabo,au tafuta interview ya Flavour uone anavyoexpress feelings zake baada ya kufanya collabo na mond halafu angalia chati za redio za nchi za Nigeria,Ghana,uingereza,Australia,south uone jinsi nyimbo za Mfalme og zinavyobamba halafu uniambia kibamia na Mvumo wa radi aliishia wapi
Haya mwanaume wa KINONDONI naona UNANCHAMBA...pia tafuta clip ya davido kwa millard ayo umskie alipozungumzia collabo yake na kiba fuatilia na seyi shay apart from that moja ya kitu kinachofanya bwana SIMBA JIKE LA TANDALE kumchukia THE KING himself ni REMIX YA SINGLE BOY fuatilia nani alitaka kolabo kwa mwenzie ikaleta shida...then fuatilia habari ya LALA SALAMA REMIX nani aliomba kolabo kwa mwenzake ukioata majibu njoo ntakupa zawasi ya ped bibie naona unakaribia siku zako...KING KIBA YUPO FLEXIBLE msikize kola o yake na navy kenzo LINI,mskize kwwny ONE 8 project,msikize kwa mapacha watatu na mskize kwa nuhu mziwanda siyo jamaa yako kafanya kolabo na fally ipupa MDUNDO NDO MZURI kuliko alivyoimba pumbav..akiimba live band ndo MATAPISHI kabisaaa sauti kavu kama ushuzi wa mtu mwenye DENGUE.
 
Back
Top Bottom