Ali Kiba Ni Simba [emoji881] wa karatasi, mwacheni ajiburudishe kwa matamko
ππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππππππππ........................................
Nafasi ipi? Mbona unaongea kama mtu Mjinga..We jamaa bure kabisa Kama alikiba wako Hali ni tete kwa kiba naona konde boy kachukua nafasi yake.
Neno π―π―π―π―.Kiba sidhani kama anafanya Muziki kwasasa na naona anataka ashindane kwa maneno badalaa ya Kazi.
Mwenzake Mondi alihujumiwa na Clouds lakini akaendelea kupambana na kazi Zake zilitoa Majibu sasa yeye kama anahujumiwa na Mondi apambane tu Mondi hawezi kutuzuia kuuona muziki wake Mzuri.
Afanye muziki Mzuri atoe nyimbo kulingana na soko atakua katoa jibu Tosha Kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mr pianoman,
Kumbe Tanasha mdangaji
Kumbe penseli ni binti mkenyaAnaenda kudai ki penseli chake ambacho mondi amakificha pale madaleView attachment 1256117
Kama Rey enzi za KanumbaDiamond akisema naacha music rasmi, akipata mshindani mzuri au akifa, Ali kiba ndio itakuwa mwisho wake kufuatwa na wanahabari.
Kwa hakika jamaa hana lolote ila ashukuru Mungu hii miaka kasafiria nyota ya Diamond.
Tamko hewaaaaaTamko laendeleaje?