Sizani kama izo story ni za kweli kuwa kiba ndo alimruhusu domo kufanya kazi na sharobaro maana ile studio ni ya bobjunior labda ingekuwa kgt sawaKulikuwa hakuna namna! Bob junior alikuwa tayari kuhatarisha urafiki wake na kiba lakini sio kukiacha kichwa kilichokuwa na kila dalili ya kuwa 'A list' artist.. Kiba ikambidi tu awe mpole l..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ulianza vizuri na nikawa nataka nimlaum abydad ila ulivo malizia na WCB nikajua hii BS na abydad ana haki ya kudai chochote.
Lakin si lazima kila kwenye tatizo la Kiba bas Diamond auhusishwe, hii imekuwa ni tabia ya mida mrefu ya Camp ya Kiba. Punguzeni basi kulalamika na kila tatizo kuonesha nyie hamna kosa bali ni domo. Deal with it.
"....and we are thankful for that......."Tatizo mnapenda sana historia [emoji1]
Anyways, kiba amemsaidia vitu vingi simba kabla hajatoka and we are thankful for that!!
Mkuu abydad utamfananisha na laizer? Muombe radhi abydadTunampa ofa ya kurekodi ngoma moja na Laizer, tunajua anataka ila anashindwa kusema.. Mpeni taarifa # aje wasafi studios wala asiogope [emoji23] [emoji23]
Kwahiyo unataka kusema Abydad ni zaidi ...........???Mkuu abydad utamfananisha na laizer? Muombe radhi abydad
nampenda sana dioamond ila toka nilivosikiliza ile interview ya dimpoz niliumia dana dogo alivo na roho ya unafiki hadi machozi yalinitokaSidhani kama hata ana wazo hilo,yeye baada ya kutoa idhini ya Kamwambie irekodiwe Sharobaro haitaji anything in return.
Huyo ndiye Ali Kiba [emoji123]
Yule alikuwa anatafuta huruma kwa wananchi baada ya kulianzishanampenda sana dioamond ila toka nilivosikiliza ile interview ya dimpoz niliumia dana dogo alivo na roho ya unafiki hadi machozi yalinitoka
nampenda sana dioamond ila toka nilivosikiliza ile interview ya dimpoz niliumia dana dogo alivo na roho ya unafiki hadi machozi yalinitoka
mpindue zarinampenda sana dioamond ila toka nilivosikiliza ile interview ya dimpoz niliumia dana dogo alivo na roho ya unafiki hadi machozi yalinitoka
ukifikiria vizuri. pale kuna mtu alitaka kupata sympathy kwa wananchi na bahati nzuri alifanikiwa kiasinampenda sana dioamond ila toka nilivosikiliza ile interview ya dimpoz niliumia dana dogo alivo na roho ya unafiki hadi machozi yalinitoka
Amebadilika wewe mkewe?Baada ya kokoro abydad amebadilika Sana kafuta hadi promo ya aje remex kaanza new life
Kiba hafany copy wala Nigerian flovour so kwa laizer Ngumu.Tunampa ofa ya kurekodi ngoma moja na Laizer, tunajua anataka ila anashindwa kusema.. Mpeni taarifa # aje wasafi studios wala asiogope [emoji23] [emoji23]