playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Hahahahahahahahaaaaa umeniua mkuu...Ally kiba mambo yake bwana, mtu ukiambiwa huamini, Kama wana msingizia vile..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahahahaaaaa umeniua mkuu...Ally kiba mambo yake bwana, mtu ukiambiwa huamini, Kama wana msingizia vile..!
Siyo rahanna Mzee hahahaaaEti king Levo zake kina rahanna!!!!!....
Tatizo la Jokate ni ulimbukeni. Elimu yake haimsaidii kitu kabisa. Ameishia kuwa kwenye kundi la wanaogongwa na kutoswa. Halafu ni kama Ana mkosi na wanaume. Wanagonga wanasepa Sijui wanakutanaga na nini pale.Jokate na wenzake ni Janga la Maadili Tanzania, Ni aibu, aibu, aibu, hawana tofauti n ahao madada poa wanaosakwa na Sro huko mjini, except kwa exposure ya kutoka familia kubwa
hawa wasichama wa dar wa bongo fleva na bongo movie hawana malengo kabisa, nakumbuka wakati Jokate akiwa Udsm aliwahi kuni approach akiniomba niwe mentor wake katika kuingia sokoni kwenye career, hakuwa amesoma kitu kigumu na hivyo asingeshinddwa kupata upenyo kwenye soko given her beauty na exposure nafikiri amewahi kukaa nje, ama anatoka kwenye familia nzuri
Missed opportunity.
Jokate alishakua tofauti kwa kuwa ni scholar tofauti na mabinti wengi mishauo kwenye tasnia hii. kuchaguliwa kwake kucheza sinema iliyogarimu dola 2m za wamarekani ya Siri ya Mtungi was a golden opportunity ya yeye ku excel kule kwa wakina John Ribber, badala yake akapeleka umalaya na kushindwa kuwa win wale wamarekani, sasa karudi tena huku kubanana na zile bongo movie za shilingi milioni 10
si kweli kwamba mapenzi ni upofu
sikubaliani na dhana hii potofu, mapenzi ni chagua, binadamu si dhaifu kama nyama labda atake, hawa mabinti wanatia aibu sana, hawana madaraja, huyu si ndio tuliambiwa anatoka na yule mtanzania wa basketball anayeishi marekani? allishindwa kumshika leo yuko na game boys wa manzese na tandika, atawaweza? kila kijana katembea nae, kama ni kweli, yaani nao wako kama santuri za muziki, leo Diamond, kesho Ali Kiba, kesho kutwa so and so muda umekwisha Jokate. huna tofauti na Wema sasa ni nani atakayekuokota huko shimoni? hata hao wakina Diamond mnaowaona hawana shule, pia wana class zao, wakishatoka huko kwenu tayari nyie ni daraja la chini, wanaenda juu,
waweza ku ji re brand
Hakuna mahali tuliposikia mtu kafa kwa kutokufanywa kwa muda mrefu, hawa watoto wafunge miguu kwa muda wajipange, ili thamani yao na utu wao viweze ku improve. Jokate ulianza na Kidoti vindala, hujatulia, ukaenda sijui wapi, hujatulia, kwa nini hamjifunzi kwa Lady Jay dee anapita kwenye mengi lakini amenng'ang'ania jambo moja kubwa, heshima na kujitunza mwili wake.
Kuna taarifa kuwa katika utafiti usio rasmi uliowahusisha vijana wenye vision wa kitanzania juu ya nanai wanaowaona kuwa ni role models wao na kwa vigezo gani. Wasichana pekee waliotokeza kwenye watu hao ni Flavian Matata, na Faraja kota kwa kigezo kuwa wanajiheshimu na wanafanyakazi zinazoheshimika katika jamii. Hizi takataka nyingine zote za wakina Jokate, Wema nk hazimo humo.
Ha ha ha ha ha haaaa! ZIGOKiba ndo amefikia hatua ya kabeba hilo furushi mweh
Yeuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiie auwiiiiiiijiiiuuuuujTatizo la Jokate ni ulimbukeni. Elimu yake haimsaidii kitu kabisa. Ameishia kuwa kwenye kundi la wanaogongwa na kutoswa. Halafu ni kama Ana mkosi na wanaume. Wanagonga wanasepa Sijui wanakutanaga na nini pale.
Mwana FA
Hasheem
Chidi
Diamond
Ali Kiba
Mnigeria
Lundenga
Etc etc
Sahivi kwa mtu anaemfahamu vzr hawezi kumuoa. Sijui alisoma iweje yule dada. Maana mambo yake anayajua mwenyewe
Gigi ndio Nani....!???
Hakika Kichwa kidogo cha chini kikipamba moto huwa cha juu hakifanyi kazinyege hazina level mkuu
Zigo chafu, halijui kuvaa hata kunyoosha nguo tu haliweziHa ha ha ha ha haaaa! ZIGO
Tatizo la Jokate ni ulimbukeni. Elimu yake haimsaidii kitu kabisa. Ameishia kuwa kwenye kundi la wanaogongwa na kutoswa. Halafu ni kama Ana mkosi na wanaume. Wanagonga wanasepa Sijui wanakutanaga na nini pale.
Mwana FA
Hasheem
Chidi
Diamond
Ali Kiba
Mnigeria
Lundenga
Etc etc
Sahivi kwa mtu anaemfahamu vzr hawezi kumuoa. Sijui alisoma iweje yule dada. Maana mambo yake anayajua mwenyewe
Mbona kapita pale chidi benz. Tena yeye ndo kihuni kbs. Hit and runHadi Chidi?
ndo uendelee na ma correlation na masignificant[emoji23]daaaah kuwa msanii kuna raha zake vijana wanafaidi kweli kweli,najilaumu kwenda kusoma economics,yaaani rafiki wangu wa karibu ni laptop tu,maprogram CSPro, SPSS, Stata sijui yatenipeleka wapi
[emoji15] [emoji23] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35] kambaHivi kwanini unafikiri Kiba anafanana na Bushman wale wa xhosa wanaoishi maporini kule namibia... akili zake ni unique.
Inawezekana kabisa.
Kuna beyonce pale migo kwa Macheni na kona bar.Rihana wa manzese??????