Ali Kiba na Jackline Mengi wateuliwa kuwa mabalozi wa tembo

weeeeeeee komaaaaaa,nilikuta washaanzaa,na wote wabishiii mmeshindwa kumsaidia mwanatimu wenu halaf mseme napuuliza unadhan nitakuwa upande shutuuuu,
Na huyo mwingine ni WiFi yenu jojo wa juzi tu

Jojo ndo wifi, huyo mwingine simTambui
Na sikukomi ng'ooo
 
Kwa iyo tumekusingizia?
Hata kwenye tbc wamekutangaza


hiviiii ushabiki mkishabikia nyie tukishabikia sie ushabiki uliokithiri ,,,,hebu mniwacheeeee timu wasafi mieeee
Nimekuwekea WiFi yako
 
hiviiii ushabiki mkishabikia nyie tukishabikia sie ushabiki uliokithiri ,,,,hebu mniwacheeeee timu wasafi mieeee
Nimekuwekea WiFi yako

Yani sisi sio ushabiki uliokithiri uliokithirishwa na wala sioni haya.
Ila sisi hatujatangazwa tbc bado.
Vipi mbona kama unapaniki?
Ntakushangaa sana kama nawewe una ushamba wa kuchukulia vitu personal ivo kaaa!
 
Yani sisi sio ushabiki uliokithiri uliokithirishwa na wala sioni haya.
Ila sisi hatujatangazwa tbc bado.
Vipi mbona kama unapaniki?
Ntakushangaa sana kama nawewe una ushamba wa kuchukulia vitu personal ivo kaaa!


hhhhhaaa aaaaa wapii,nyie ndio mnawah kupaniki jamani,ngoja tuwalegezeee
 
Safiii kibaaa safiii hahahha yani mbona umemtia mwenzio hasira hivi???
 

Attachments

  • 1434654066499.jpg
    31.9 KB · Views: 106
hhhhhaaa aaaaa wapii,nyie ndio mnawah kupaniki jamani,ngoja tuwalegezeee

Ukiona tunaepuka shari ujue hatutaki ban, maana kuna bonge la surpriseee linakuja natamani wote tuwemooo yani hilo lazima utatoa pongezi ya sato na migebuka tena utailipia mwenyeweee
 
Ukiona tunaepuka shari ujue hatutaki ban, maana kuna bonge la surpriseee linakuja natamani wote tuwemooo yani hilo lazima utatoa pongezi ya sato na migebuka tena utailipia mwenyeweee


yaan hata lingekuja linini sie tupo Tu,,,,Sato zipo kibaoo andaa pesa Tu nyingi
 
Hhhhhaaaaa Daimond anajua kujibu aiseee SI kwa jibu hili
 

Attachments

  • wp_ss_20150618_0005.png
    88.3 KB · Views: 103
yaan hata lingekuja linini sie tupo Tu,,,,Sato zipo kibaoo andaa pesa Tu nyingi

UtAtoooa bureee nakwambia la sivo utanikoma.
Ntakuwangia hayo masikio huyo domo utaishia kumwona tu hutosikia anachoimba mamaee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…