myenzialex
Member
- May 27, 2015
- 26
- 9
Huko ndipo mnapokimbiliaga kila siku.
HAMNA TUSI JIPYAAA.
Positive souls will see that as a figurative language;
KING OF THE JUNGLE:
King = The Leader
Jungle = Music Industry
Figure it out yourself!
Mind you: Afande Sele is also the King (Lion), Isha Mashauzi is the Queen (Lioness). ACCORDING TO THEMSELVES!
I'm Out!
Vote vote votee.
Sambaza upendo.
Mtafurahi na shoo mwaka huu habari ya mujini ni kuvote for davido hutaki pasuka.
Best male.... davido.
Best collab.....david and uhur.
Best live....mr flavour
Sisi tuna deal na category tatu tuu.
Chezeiyaaaa
cute b naona umetuchamba sie timu bin laden ,Timu chibu,timu wasafiiiiiiiiii babyyyyyyyyyyyy,hili hapa gazet nimelitoa sehemu muone na nyie mnavyosemwaaa
taratibu utauwaaaa unakumbuka yule ulimminia dawa hadi akawekwa selo hu hu huuui huuuuu yaan Una mapointiii weye
hata sie tunajiaminiii sanaaa unadhan hatujiaminii,,,,mbona mi nakaanga samaki najiamini lionee
Umelisomaa umejuaje kama Kuna matusi au hayapo
Senk youuiu
Wasanii wengi ni mabalozi katika miradi mbalimbali,diamond ni ambassador katika miradi mingi sana,sema tu sisi hatunaga matangazo
Kwa wenzetu hili ni jambo kubwa sana kwao team kiba kwa sababu walikuwa kwenye Comar ndio maana unaona wanashangilia sana.
Usitegemee mabadiliko yeyote ya kiuchumi kwa king(without palace,means nothing)
Kawaida sana.
Hahaaa nothing new gazeti refu hilo hata sijasoma. Hapo zingifuri anajiandaa na gazeti lingine refu na lazma this time amtaje geniveros.
wao ndio Mara ya kwanza naona ndio maana wahabuka habukaa ,halau huyu geniveros huyu we muache Tu,muhurumie huaga ni rafiki yangu
Najua matusi ndio jadi yenuuu
Mie nalima vitunguu sioni hayaa
Silishwi wala siombi msosi kwa jirani....najiamini.kama wajiamin kwanini useme kuuza vitumbua na uhousegal ni sifa mbaya?
Umekua mnyonge jamani hadi nakuonea huruma.
heheeeee HIV mshanunua fanicha za king au mpaka msaada utoke kwa jack chan
Huko ndipo mnapokimbiliaga kila siku.
HAMNA TUSI JIPYAAA.
Mbona Diamond ubalozi tena na ule wa mikwanja mikali ameizoea.
Taja balozi gani na sisi tujue sio povu jiiiiingi mpk lipstick imetoka yote!