Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Hahaaaaaaaaaa aiseeeYooooooooooooooooo
Umshinde mara ya ngapi? Kibakuli na Simba wanatembelea NYOTA za MATIMU tu,Muziki wote umewashinda.jamaa muziki ushamshinda
ana miaka mingapi sasa hivi?Anajaribu bahati yake, msimu ujao tunaweza kumsikia yuko Manchester United.
we jamaa ni msemakweliUmshinde mara ya ngapi? Kibakuli na Simba wanatembelea NYOTA za MATIMU tu,Muziki wote umewashinda.
hahaaUmshinde mara ya ngapi? Kibakuli na Simba wanatembelea NYOTA za MATIMU tu,Muziki wote umewashinda.
Diamond majuzi kaja New York City.Umshinde mara ya ngapi? Kibakuli na Simba wanatembelea NYOTA za MATIMU tu,Muziki wote umewashinda.
Diamond wa Mbagala,Kamwambie na nitarejea ni tofauti wa sasa,Ali Kiba wa Macmuga,Cinderella sio huyu wa sasa,TIMU ndio zinawabeba na si muziki ni sawa na mshabiki/nyumbu wa chama fulani, wao ni kushabikia hata serikali ikifanya madudu yeye ni kushabikia tu bila logic.we jamaa ni msemakweli
Bora Akili Kubwa Kiranga umeongea ukweli,ujue hizi TIMU ndio zinasababisha wanamuziki wetu kufeli kwasababu tuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa,hata kazi ikiwa mbaya MATIMU wanaibeba,wanashinda kwenye Youtube kuongeza Views kuwaaminisha walaji kazi ni nzuri wakati si kweli.Diamond majuzi kaja New York City.
Kapiga show.
Hata watu 50 hakupata.
Na kati ya hao 30 walikuja kuwaangalia ma star wa Caribbean. Wabongo walikuwa kama 20 tu.
Nikasema mi nilijua haya yatakuwa hivi kabla hayajatokea.
Mbona walisema eti Sold out!!Diamond majuzi kaja New York City.
Kapiga show.
Hata watu 50 hakupata.
Na kati ya hao 30 walikuja kuwaangalia ma star wa Caribbean. Wabongo walikuwa kama 20 tu.
Nikasema mi nilijua haya yatakuwa hivi kabla hayajatokea.