Sijaongelea mtu, nimeongelea idea, kama una akili fupi lazima utaishia kuona nimeongelea mtu hata kama nimeongelea idea.
Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.
Mazee kushare habari kwamba Diamond hakupata watu Manhattan ni wivu? Mimi nashindanaje na Diamond wakati si mwanamuziki na maisha yangu na ya Diamond tofauti kabisa? Naanzaje kumuonea wivu mtu ambaye simjui? Maisha yangu yako poa, nimuonee wivu Diamond kwa nini?
Kwa kuandikwa kwenye magazeti kila siku? Wakati mimi napenda privacy katika maisha yangu?
Hizi habari za kuita criticism ni wivu ni moja ya sababu Watanzania hatuendelei, hawa wasanii wanatakiwa wajifunze kuwa professionals na kwenda kwenye standards za kimataifa, watu wakisema hilo, hilo si wivu.
Wachukulie kama constructive criticism. Unaelewa constructive criticism ni nini?
Usilete mahaba kwenye watu wanaoongea kwa principles ndefu zaidi ya mihemuko ya ushabiki.
Madagascar si New York City ndugu yangu, sijataja Madagascar, sijui ya Madagascar, nmetaja ya New York City ninakokaa.
Wwapi nimesema Diamond hawezi kujaza uwanja wa mpira?
Nimesema New York City hakupata watu, tena wala sijasema hajapata watu kwa makosa yake, nimeongelea issues za lack of promotion na bad timing.
Ila mtu unayeendekeza ushabiki badala ya kujua kusoma kama wewe utaona nimemlaumu Diamond kwa kukosa watu.
Wakati Diamond si mtu anayefanya promotion ya show yake, kuna promoters na team kubwa tu ambayo ina kazi hii.
Obviously hujui kusoma, una matatizo ya elimu ya msingi na unaendekeza ushabiki zaidi ya uchunguzi wa facts.
Fact ni kwamba show ya Diamond ya New York City ime flop, na hicho ndicho nilichoandika.
Sijaandika Diamond hawezi kujaza uwanja, sijasema hajajaza uwanja Madagascar.
Sasa kwa nini unaleta mambo ambayo mimi sijasema kama mimi nimesema?
Unajua kusoma wewe?