Bidada umetoa povu tu,lakini ulichokusudia kukisema HAKIJAELEWEKA.achana na story za vijiweni,penda kufatilia mambo mwenyewe...nani If inayotamba ni ya nani??? na Fall je? Nobody ugly kaimba nani??? ukishajua jisome upya ulichoandika...usikute hata mziki hufatilii.
kwasababu huzijui hata hizo nyimbo nilizotaja ndomana unaona nyota[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Bidada umetoa povu tu,lakini ulichokusudia kukisema HAKIJAELEWEKA.
poa,hebu agiza kinywaji unachotumia nakuja kulipa.kwasababu huzijui hata hizo nyimbo nilizotaja ndomana unaona nyota[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Nahitaji jibu huyu jamaa yuko wapi siku hizi maana hasikiki kabisa au tayari kapuni na vipi zile show zake za ugaibuni kaisha maliza
masikini kiba hasikiki tena so sad kweli
Sema Kiba alikuwepo, (past tense). Huu wakati wa sasa haumfai na haitajiki.Music ndivyo ulivyo, wajanja hawakai kwenye music muda mrefu wanaanzisha miradi yao mingine maisha yanaendelea
Na kakaake Dimpoz kwa PozNahitaji jibu huyu jamaa yuko wapi siku hizi maana hasikiki kabisa au tayari kapuni na vipi zile show zake za ugaibuni kaisha maliza
masikini kiba hasikiki tena so sad kweli
Davido yupi unaemzungumzia??The Sony Syndrome, kwani wakina Davido na P square wanasikika tena?
Davido n sony walizenguana na aka mtimua meneja wake alimsingnisha huo mkataba baada hapo waka kubaliana na Sony yeye hata push track zke pekee yke za afrika wao sony wata deal nae aki fanya track za international na wasibane ndo maana izi If na Fall anazisukuma yeye mwenywe Sony na RCA hawahusiki nazo ndo imekuwa pona yakeachana na story za vijiweni,penda kufatilia mambo mwenyewe...nani If inayotamba ni ya nani??? na Fall je? Nobody ugly kaimba nani??? ukishajua jisome upya ulichoandika...usikute hata mziki hufatilii.
walikuja ku modify mkataba ndo ikawa pona ya Davido wao Sony na RCA watasukuma ngoma zake za international yeye Davido hatakuwa ana deal na Afrika tu solo project zakeJamaa alikuwa na point ila kashindwa kuiweka vizuri kama mimi vilevile kuhusu Sony ,hata mm naona kuna wakati Davido alipoa au kupotea kabisa kwa muda mrefu kwa kunana na sony (nipo tayari kurekebishwa)
hahahngoja team "muziki mzuri" watoke shimoni wakuvamie kama nyuki
+Away + Bank Alert!achana na story za vijiweni,penda kufatilia mambo mwenyewe...nani If inayotamba ni ya nani??? na Fall je? Nobody ugly kaimba nani??? ukishajua jisome upya ulichoandika...usikute hata mziki hufatilii.