Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakimi katusanua, alikiba alikuwa akiishi kwake sasa kaamua hiyo nyumba kumuuzia mama yake kwahiyo saivi ali anaishi kwa bi mdashi. Mondi kwenye mistari yake anasema "usiwaze madale kwani ile nyumba ni ya mama"Ameshtuka mapema
We jipige kifua uanze kukohoa.Acheni uwoga. Muwe mnajiamini. Mwanaume umejenga nyumba mwenyewe halafu unashindwa kujipiga kifua kusema ni zako?? Uzembe huu!
Imeandikwa kinyume nyume.Nasikia mchezaji Ebue amekuwa fukara kwasabb aliandika mali zote jina la mamake halafu wajomba wakazigawana bila kuacha hata senti. Ebue hivi Sasa anaokota makopo
Vipi kuhusu Nwanko Kanu? Nauliza hivi kwasabb kumbukumbu zangu zinaniambia kuna mchezaji mmoja wa Nigeria kapigwa mali zake na ukoo wa mamake. Sema ndiyo sikumbuki vema.Imeandikwa kinyume nyume.
Ni mke wake mzungu.
Sexless, post: 47995841, member: 421083 GUGUVipi kuhusu Nwanko Kanu? Nauliza hivi kwasabb kumbukumbu zangu zinaniambia kuna mchezaji mmoja wa Nigeria kapigwa mali zake na ukoo wa mamake. Sema ndiyo sikumbuki vema.
Hamkawii kutukolimBaAcheni uwoga. Muwe mnajiamini. Mwanaume umejenga nyumba mwenyewe halafu unashindwa kujipiga kifua kusema ni zako?? Uzembe huu!
Borq ukorofishane ndugu zako.Kwa bahati mbaya mama yake akifa ugomvi wa kugombea mali unaanza yeye na ndugu zake.
Mali yangu ni ya mke wangu na watoto wangu,inakuwa haina maana umeoa umepata watoto halafu mali zako unaandikisha jina la mama yako!
Mali yangu ni ya mke wangu na watoto wangu,inakuwa haina maana umeoa umepata watoto halafu mali zako unaandikisha jina la mama yako!
Labda kama unaongelea wanawake wanawake waliozaliwa 1979 kushuka chini ila waliozaliwa baada ya hapo hawaaminiki. Washajua sheria ya ndoa na mahusiano inawapendelea wanatumia huo mwanya kufanya upigajiMali yangu ni ya mke wangu na watoto wangu,inakuwa haina maana umeoa umepata watoto halafu mali zako unaandikisha jina la mama yako!