Ali Kiba ni mjivuni, mbinafsi na mwenye wivu sana

SERIES YA KEEP UP WITH KARDASIAN YA KIBONGO INAENDELEA HUKU TUKITAZAMIA 2025 KUWA NCHI YA V-WONDER KWA KUWEPO VYOMBO HURU VYA GRAVEPINE ZAIDI YA TMZ.
 
Yahhhh,,,Kama,,,wimbo wa Babalao,,wa Diamond,,,Ni wimbo wa ovyo kabisa,,,ila kwa sababu ,,,Diamond Ana jina,,,kila anachokileta,,,Ni Habar ya mjini,,,Ali kiba ,,,,uswahili mwingi ,,,,na wivu,,,wa kike
Sasa kama rafiki zake ni kina matunga pesa unategemea wamshauri nn?
 
Mugisher,

Why kiba?

Kuna wanamuziki wengi sana

Kinachowasumbua kumfuatilia huyu ni nini?
Unataka wamuongelee 20%?..vioo vya music wa Tanzania ni Mondi na Kiba hao ndio maicons wa bongofleva huwezi kuongelea Bongofleva ya sasa pasina kuwataja hao japokuwa Diamond anamfunika Kiba kwa vitu vingi
 
unachomaanisha si kama kile mtoa mada anacho kimaanisha! alikiba ni mtu anaejiona kamaliza ilihali ni mtu ambaye bado anastahili kufanya juhudi zaidi ili afike mbali..
 
Akili nyingi Sana hii ..big up bro
 
unachomaanisha si kama kile mtoa mada anacho kimaanisha! alikiba ni mtu anaejiona kamaliza ilihali ni mtu ambaye bado anastahili kufanya juhudi zaidi ili afike mbali..
Sasa unabisha kwa kuandika kwamba ninachomaanisha si kile mtoa mada anacho maanisha, halafu unaandika kitu ambacho hakipingani na nilichoandika mimi.

Maana yake nini?

Kwani mimi nimeandika Ali Kiba ni mtu anajiona hajamaliza?

Yani kuandika kote huko mpaka braggadoccio, ambapo hujanielewa ni wapi?
 
sifa ulizoandika ni zakila mwanadam, niwenye hekima na busara2 ndo hufanikiwa kuzificha hata wewe
 
unachomaanisha si kama kile mtoa mada anacho kimaanisha! alikiba ni mtu anaejiona kamaliza ilihali ni mtu ambaye bado anastahili kufanya juhudi zaidi ili afike mbali..
Afike mbali wapi? Ili iweje? Kwanini mnataka Ali kiba awe kama diamond? Kama hapo alipofika ndio mwisho wake unataka aende wapi? Wewe mbona hujitumi ufike mbali uwe kama bakhressa au mengi? Umeridhika na maisha yako ya chumba kimoja mbagala magengeni na simu yako ya tecno pop 1 ya laki moja na nusu?
 
Pia jamaa anadharau sana nilifika kwake tabata anakokaa na wale wasanii wake majina anayowaita ni ''kiazi njoo hapa " tena mbele za watu
 
Kiba kawakamata pabaya hawaishi kumuongelea
 


Hili jibu ni marking scheme ya swali la PhD
 
Jf ingekuwa na watu wenye akili kama we we hadhi yake ya zamani ingerudi tatizo imevamiwa na vijana wa Facebook tunapata taabu sana
 
Ali Kiba kafanya sana kolabo na wasanii chipukizi ili watoke kimziki au unataka awasaidiaje?
Kwanza Dada yake mondi queen darling kamsaidia kweli kimuziki, wakati kaka yake bado hajulikani, Leo hii kajulikana kaka yake kampotezea kiba, mleta posti naona hajui hili, anayemsifia kwanza kazi yake kuwatangaza watu ila mchoyo kuwapa maisha wenzake, wafatilie wote waliotoka kwake.
 
kiba ni wa kusaidiwa na queen darlin kwa sasa kweli[emoji1787][emoji1787]
 
Hizo ndio tabia za waha kule kigoma muha akifanikiwa kidogo anakua msumbufu sana
 
Swali la msingi ,kwanini azungumziwe Alikiba?wangapi aliwakuta kwenye mziki,wangapi alianza nao, wangapi walianza baada yake,?bado kiba anauwezo mkubwa ila kiukweli kazidiwa umaarufu na mbinu za kibiashara japo na yeye analifahamu na ili uelewe mbinu yake ipo imara zaidi ni kwamba haufuati mkumbo fikiria vizuri .Tatizo1 tu hit zilizoshiba japo2 kwa mwaka hilo ndo hitaji kubwa la soko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…