Ali Kiba ni mjivuni, mbinafsi na mwenye wivu sana

Ali Kiba ni mjivuni, mbinafsi na mwenye wivu sana

Mugisher

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
411
Reaction score
360
Wengi wanadhani mwanamziki Ali Kiba hapendi makuu au hapendi kujionyesha, lakini hili si kweli. Huyu mwanamziki kwanza ni mbinafsi sana, ana majivuno na mwenye wivu sana. Mifano ni mingi kuonyesha haya mambo hasi kwake.

1. Mjivuni: ukimwangalia tu, kwa kuongea kwake, majibu yake anapoulizwa maswali na mikogo yake, unaona kabisa huyu mtu ni mjivuni sana. Ali Kiba anataka aonekana kuwa yeye ni kila kitu, lakini zaidi ya sauti nzuri aliyokuwa nayo, hana kitu kikubwa ambacho anaweza kujivunia nacho.

2. Mbinafsi: Nashindwa kuelewa ni vipi mwanamziki aliyekuwepo kwenye muziki zaidi ya miaka 15, eti leo ndio anakuja na music label kisa tu mpinzani wake anayo. Kama kweli wewe ni King, hivi vitu ulitakiwa uwe umevifanya miaka mingi iliyopita ili kusaidia vijana chipukizi na sio ufanye kwa ajili ya kushindan na mpinzani wako.

Katika miaka yake yote kwenye muziki, ukiacha wasanii wake wa King's Music, sijasikia msanii yeyote ambaye anaweza kutoka mbele ya jamii na kusema Ali Kiba amemsaidia kwenye muziki.

3. Mwenye wivu sana: Hili halina ubishi, Ali Kiba anamuonea wivu sana Diamond. Angependa sana awe kama yeye lakini anajua kabisa hawezi. Kuimba ni kitu kimoja, lakini huu mziki ni zaidi ya kuimba. Kuna kuburudisha (entertainment), kuna showbiz, kuna bidii ya kazi, na pia kuna biashara. Ali Kiba ana kimoja tu, ambacho ni kuimba tu, hivyo vingine hana. Na bahati mbaya Diamond ndio hapo anapopata nafasi ya kuwa bora.

LEO KWELI KWENYE JAMII YA DIGITAL NA SOCIAL MEDIA, HUWEZI UKASEMA FUN BASE YA MTU KWENYE SOCIAL MEDIA NI KITU KIDOGO. Eti kuna wale watu wanasema views za You Tube sio lolote. Views za You Tube ndio biashara hiyo, hilo ndio soko la mwanamuziki kwa sasa. Wingi wa fan base ndio husambaza bidhaa ya mwanamuziki. Ndio maana leo hata Diamond akitoa nyimbo mbaya vipi na Ali Kiba atoe nyimbo nzuri sana, bado Diamond atauza zaidi nyimbo yake kwa kuwa soko lake ni kubwa na analijua linataka nini.

Kwa kumalizia, MUZIKI SIO SIFA, MUZIKI NI BIASHARA.
 
Wengi wanadhani mwanamziki Ali Kiba hapendi makuu au hapendi kujionyesha, lakini hili si kweli. Huyu mwanamziki kwanza ni mbinafsi sana, ana majivuno na mwenye wivu sana. Mifano ni mingi kuonyesha haya mambo hasi kwake.

1. Mjivuni: ukimwangalia tu, kwa kuongea kwake, majibu yake anapoulizwa maswali na mikogo yake, unaona kabisa huyu mtu ni mjivuni sana. Ali Kiba anataka aonekana kuwa yeye ni kila kitu, lakini zaidi ya sauti nzuri aliyokuwa nayo, hana kitu kikubwa ambacho anaweza kujivunia nacho.

2. Mbinafsi: Nashindwa kuelewa ni vipi mwanamziki aliyekuwepo kwenye muziki zaidi ya miaka 15, eti leo ndio anakuja na music label kisa tu mpinzani wake anayo. Kama kweli wewe ni King, hivi vitu ulitakiwa uwe umevifanya miaka mingi iliyopita ili kusaidia vijana chipukizi na sio ufanye kwa ajili ya kushindan na mpinzani wako.

Katika miaka yake yote kwenye muziki, ukiacha wasanii wake wa King's Music, sijasikia msanii yeyote ambaye anaweza kutoka mbele ya jamii na kusema Ali Kiba amemsaidia kwenye muziki.

3. Mwenye wivu sana: Hili halina ubishi, Ali Kiba anamuonea wivu sana Diamond. Angependa sana awe kama yeye lakini anajua kabisa hawezi. Kuimba ni kitu kimoja, lakini huu mziki ni zaidi ya kuimba. Kuna kuburudisha (entertainment), kuna showbiz, kuna bidii ya kazi, na pia kuna biashara. Ali Kiba ana kimoja tu, ambacho ni kuimba tu, hivyo vingine hana. Na bahati mbaya Diamond ndio hapo anapopata nafasi ya kuwa bora.

LEO KWELI KWENYE JAMII YA DIGITAL NA SOCIAL MEDIA, HUWEZI UKASEMA FUN BASE YA MTU KWENYE SOCIAL MEDIA NI KITU KIDOGO. Eti kuna wale watu wanasema views za You Tube sio lolote. Views za You Tube ndio biashara hiyo, hilo ndio soko la mwanamuziki kwa sasa. Wingi wa fan base ndio husambaza bidhaa ya mwanamuziki. Ndio maana leo hata Diamond akitoa nyimbo mbaya vipi na Ali Kiba atoe nyimbo nzuri sana, bado Diamond atauza zaidi nyimbo yake kwa kuwa soko lake ni kubwa na analijua linataka nini.

Kwa kumalizia, MUZIKI SIO SIFA, MUZIKI NI BIASHARA.
Kingine kilichonichekesha sana kutoka kwake alisema amekataa kufanya show ya wasafi cos anatafuta achieve zake Cha ajabu anaenda kufanya show ya fiesta ya buku 3.
 
Yahhhh,,,Kama,,,wimbo wa Babalao,,wa Diamond,,,Ni wimbo wa ovyo kabisa,,,ila kwa sababu ,,,Diamond Ana jina,,,kila anachokileta,,,Ni Habar ya mjini,,,Ali kiba ,,,,uswahili mwingi ,,,,na wivu,,,wa kike
Kama ngoma inapendwa na watu wengi kwanini useme ni mbaya Hadi sasa hiv ipo number 1 on trending kwa siku 6 mfululizo
 
kabila moja (waha).
dini moja (waislam).
chimbuko moja (kigoma).

#lakini jamaa (kibakuli) anakuwa na kinyongo sana kwa mwenzie kana kwamba hawashabiani hata kidogo. hivi hizi dini zaidi ya kufundisha kwenda peponi..ile habari ya upendo huwa haihubiriwi..?
 
Wanakuja kwa hasira team Kibakuli,

wengine tukae kimia team mziki mzuri, ila huu wa jana nimeupenda kidogo,
 
Wengi wanadhani mwanamziki Ali Kiba hapendi makuu au hapendi kujionyesha, lakini hili si kweli. Huyu mwanamziki kwanza ni mbinafsi sana, ana majivuno na mwenye wivu sana. Mifano ni mingi kuonyesha haya mambo hasi kwake.

1. Mjivuni: ukimwangalia tu, kwa kuongea kwake, majibu yake anapoulizwa maswali na mikogo yake, unaona kabisa huyu mtu ni mjivuni sana. Ali Kiba anataka aonekana kuwa yeye ni kila kitu, lakini zaidi ya sauti nzuri aliyokuwa nayo, hana kitu kikubwa ambacho anaweza kujivunia nacho.

2. Mbinafsi: Nashindwa kuelewa ni vipi mwanamziki aliyekuwepo kwenye muziki zaidi ya miaka 15, eti leo ndio anakuja na music label kisa tu mpinzani wake anayo. Kama kweli wewe ni King, hivi vitu ulitakiwa uwe umevifanya miaka mingi iliyopita ili kusaidia vijana chipukizi na sio ufanye kwa ajili ya kushindan na mpinzani wako.

Katika miaka yake yote kwenye muziki, ukiacha wasanii wake wa King's Music, sijasikia msanii yeyote ambaye anaweza kutoka mbele ya jamii na kusema Ali Kiba amemsaidia kwenye muziki.

3. Mwenye wivu sana: Hili halina ubishi, Ali Kiba anamuonea wivu sana Diamond. Angependa sana awe kama yeye lakini anajua kabisa hawezi. Kuimba ni kitu kimoja, lakini huu mziki ni zaidi ya kuimba. Kuna kuburudisha (entertainment), kuna showbiz, kuna bidii ya kazi, na pia kuna biashara. Ali Kiba ana kimoja tu, ambacho ni kuimba tu, hivyo vingine hana. Na bahati mbaya Diamond ndio hapo anapopata nafasi ya kuwa bora.

LEO KWELI KWENYE JAMII YA DIGITAL NA SOCIAL MEDIA, HUWEZI UKASEMA FUN BASE YA MTU KWENYE SOCIAL MEDIA NI KITU KIDOGO. Eti kuna wale watu wanasema views za You Tube sio lolote. Views za You Tube ndio biashara hiyo, hilo ndio soko la mwanamuziki kwa sasa. Wingi wa fan base ndio husambaza bidhaa ya mwanamuziki. Ndio maana leo hata Diamond akitoa nyimbo mbaya vipi na Ali Kiba atoe nyimbo nzuri sana, bado Diamond atauza zaidi nyimbo yake kwa kuwa soko lake ni kubwa na analijua linataka nini.

Kwa kumalizia, MUZIKI SIO SIFA, MUZIKI NI BIASHARA.

Umesema kweli kwa 100% ...Unamfahamu vizuri sana.....Nafikiri kwa upande mwingine mashabiki wake wanampotosha kwa kumpa sifa ambazo kwa sasa hastahili kabisa hivyo anakuwa na majivuno na kuvimba kichwa.Sauti nzuri anayo..YES...lakini zaidi ya hapo hana ishu yeyote...mashabiki wake akina Mange, Shilawadu sijui wanajaribu kumbeba lakini wapi....nyimbo anazotoa kwa sasa hazina mvuto kabisa wala siyo kwa soko la sasa......Nyie mashabiki mnapotosha huyo jamaa
 
Yani unapomuongelea Ali kiba unaongelea Clouds fm, unaongelea mange kimambi + % kubwa ya wafuasi wake wote, mashabiki wa harmo, unaongelea diva + wafuasi wake pia, watu wote hawa wapo against mtoto wa Tandale lakini hado dogo anapeta na hichi ndicho kitu kinachowauma zaidi
Ukiwa na akili timamu tu utaona vita anayopigwa Diamond ni kubwa sana kuliko msanii yoyote Tz but he still on top, haki Mungu aendelee kumpigania dogo

*Kibamia na fans wake wote washamba tu acha waendelee kukutolea povu
 
Wengi wanadhani mwanamziki Ali Kiba hapendi makuu au hapendi kujionyesha, lakini hili si kweli. Huyu mwanamziki kwanza ni mbinafsi sana, ana majivuno na mwenye wivu sana. Mifano ni mingi kuonyesha haya mambo hasi kwake.

1. Mjivuni: ukimwangalia tu, kwa kuongea kwake, majibu yake anapoulizwa maswali na mikogo yake, unaona kabisa huyu mtu ni mjivuni sana. Ali Kiba anataka aonekana kuwa yeye ni kila kitu, lakini zaidi ya sauti nzuri aliyokuwa nayo, hana kitu kikubwa ambacho anaweza kujivunia nacho.

2. Mbinafsi: Nashindwa kuelewa ni vipi mwanamziki aliyekuwepo kwenye muziki zaidi ya miaka 15, eti leo ndio anakuja na music label kisa tu mpinzani wake anayo. Kama kweli wewe ni King, hivi vitu ulitakiwa uwe umevifanya miaka mingi iliyopita ili kusaidia vijana chipukizi na sio ufanye kwa ajili ya kushindan na mpinzani wako.

Katika miaka yake yote kwenye muziki, ukiacha wasanii wake wa King's Music, sijasikia msanii yeyote ambaye anaweza kutoka mbele ya jamii na kusema Ali Kiba amemsaidia kwenye muziki.

3. Mwenye wivu sana: Hili halina ubishi, Ali Kiba anamuonea wivu sana Diamond. Angependa sana awe kama yeye lakini anajua kabisa hawezi. Kuimba ni kitu kimoja, lakini huu mziki ni zaidi ya kuimba. Kuna kuburudisha (entertainment), kuna showbiz, kuna bidii ya kazi, na pia kuna biashara. Ali Kiba ana kimoja tu, ambacho ni kuimba tu, hivyo vingine hana. Na bahati mbaya Diamond ndio hapo anapopata nafasi ya kuwa bora.

LEO KWELI KWENYE JAMII YA DIGITAL NA SOCIAL MEDIA, HUWEZI UKASEMA FUN BASE YA MTU KWENYE SOCIAL MEDIA NI KITU KIDOGO. Eti kuna wale watu wanasema views za You Tube sio lolote. Views za You Tube ndio biashara hiyo, hilo ndio soko la mwanamuziki kwa sasa. Wingi wa fan base ndio husambaza bidhaa ya mwanamuziki. Ndio maana leo hata Diamond akitoa nyimbo mbaya vipi na Ali Kiba atoe nyimbo nzuri sana, bado Diamond atauza zaidi nyimbo yake kwa kuwa soko lake ni kubwa na analijua linataka nini.

Kwa kumalizia, MUZIKI SIO SIFA, MUZIKI NI BIASHARA.
Zote hizo, kama ni kweli, ni haki zake za kikatiba.

Na pia, labda ndiyo sababu zimemfanya ajulikane.

Ukiwa si mbinafsi, si mjivuni na huna wivu, kabisa, huwezi kuwa star.

Kwa sababu kuwa star ni ubinafsi na ujivuni Umejiweka wewe pale juu, fans wako wako chini.

Katika sanaa, kuna aina ya sanaa inayojulikana na kukubalika kabisa ya ujivuni.

Inaitwa braggadocio. Hii ipo tangu kwenye medieval plays na Opera. Ukiliangalia hilo jina limekaa kitaliani. Rappers wanaitumia sana hii style. Ukiwa huelewi braggadocio ni nini, unaweza kufikiri hawa rappers ni vichaa, wanavyojisifia. Kumbe wanashindana sanaa ya kujisifia. Na tunaojua wanaojisifia sana hawana kiti, hata halitusumbui hili.

Ukiwa msanii wa sanaa ya Bongo fleva halafu ukashindwa kuwa mjivuni, umeshindwa hiyo sanaa.

Kwa sababu sanaa yenyewe inataka mtu mjivuni, akae juu pale.

Inataka uwe na swagger.

Unawaamrisha fans, mikono juu, mikono juu, watu wanakutii kama ng'ombe, wanarusha mikono juu.

Say yooo. Say yeee. Wanakujibu. Wanakufuatisha.

Nguvu yote hii aipate mtu mmoja, kama si ubinafsi ni nini?

Kama si ujivuni ni nini?

Bila mwanamuziki kuwa na wivu hawezi kushindana na wenzake. Wivu ndio unaleta ushindani na maendeleo.

Mwanamuziki asiye mbinafsi, mjivuni na mwenye wivu amekosea taaluma.

Alitakiwa kuwa mtawa, si mwanamuziki.
 
Back
Top Bottom