Yap yapAnachomaanisha Genta ndicho ulichoandika Mkuu. Timu zinatakiwa kuwaambia mashabiki wake kwenye tamasha letu atakuwepo Msanii Fulani na Fulani na siyo kuwadanganya Diamond kabadili timu au Kiba Kabadili timu ya kushabikia.
Mkuu kweli acha mzaha😂 walete million ndo mtu ata vaaMilioni mia yote mie hata elfu 10 tuu navaa
Usiumie mm pia ni team kiba na ni yanga na nitabakia hivyo hivyo bila kujali kilichotokeaNadhani team hazina tatizo lolote kuhusu mtu anayepaswa kuhudhuria tamasha lao sio lazima.awe mshabiki wao ila jambo la msingi ni yeye msanii kufanya ubunifu ambao mashabiki halisi watapata hamasa.
Hiki ndicho alichofanya Kiba. Kiba ni Yanga damu ila makolo wameaminishwa na watajaa kujisikia ile siku ya club yao sababu its just a mind game.
Hata Diamond mwenyewe anajulikana ni Simba damu ila alisema amehamia Yanga eti sababu ya Manara ila ukweli unajulikana alikuwa na deals zake tu.
Kwa mashabiki halisi wa hizi team ukiwa na hasira utaumia sana ila hata wewe ukipewa deal la kuvaa jezi ya simba ingali wewe ni Yanga na wakasema watakulipa milioni 100 hivi utakataa kisa unashabikia Yanga? Ushabiki upo damuni ila hiyo ya biashara wala haisumbui japo nami imeniuma maana pia mie ni team Kiba hapo tu😁
Milioni uongo ila kimtas mtaa wa 10 sikosi ndo manaMkuu kweli acha mzaha😂 walete million ndo mtu ata vaa
Umeandika point za msingi sana, kuna wajinga wachache ndio wanajizima data.GENTAMYCINE sijashangaa sana kwa hili la Ali Kiba ( mwana Yanga SC lia lia kwa 100% ) kuhamia Simba SC kwani kama Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu ni mwana Yanga SC lia lia, Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC lia lia, Mjumbe wa zamani Simba SC ( tena nimesoma nae Sekondari ) Said Tuli ( sasa ni Mshauri Kivuli wa Klabu ya Simba ) japo ni Wakala wa Wachezaji ni mwana Yanga SC lia lia, Mratibu wa Timu Abbas nae akiwa ni mwana Yanga SC lia lia na Fred Ngajiro ( Fred Vunjabei ) aliyekuwa Kit Sponsor Wetu alikuwa na ni mwana Yanga SC lia lia kwanini na Yeye Kirusi Ali Kiba asiwe mwana Simba SC Usoni ila mwana Yanga SC rohoni?
Halafu Yanga SC wakisema ( tena kwa Kutamba ) kuwa Watakuwa Mabingwa wa NBC Premier League na kwamba watatufunga mno Simba SC huwa mnawakatalia na hamuwaelewi.
Hovyo kabisa yaani Mtu ana Bifu lake la Kushindwa Mziki na Kubanduliwa ampendae na Mwamba Nasib na kamshindwa kuona atafute Msaada wa Kusapotiwa Kimuziki na Kurudishwa katika Chati akaona aje Kwetu Mimbumbumbu ( Fools ) na kweli tumempokea na tarehe 6 August, 2023 tunaenda Kumpandisha Chati kisha akisharejea katika Kiwango chake mwakani anarejea zake Yanga SC anakokupenda zaidi.
Yaani Ali Kiba ambaye aligombana na Mchezaji Haruna Fafhil Hakizimana Niyonzima alipoihama Yanga SC na kuja Simba SC hadi Wakaufuta Urafiki na Kukacha kabisa Kuntembelea Niyonzima alipokuwa akikaa Sinza leo hii anakuja Kutubania Pua yake na kusema.... kuanzia leo Mimi ni mwana Simba SC.....
Yaani mmenikera na kuniboa Kweli!!
Very logical thinking.Drake ni chiccago lialia lakini anaendaga kwenye game za Lakers
Farhan kaandika fact sana..Tunautoa mpira kwenye burudani tunahamia kwenye Biashara..hizi mentality za msanii ni yanga huyu ni Simba zipitwe na wakati sote tunajua ni upepo tu..
Burna boy ni Man U l kindaki na ashasema anaichukia city baada kupokea kipigo cha 6-3 lakini UCL ndo alitumbwiza shoo la kibabe.Na akapiga picha na kina grealish.angekataa kisa yeye ni Man U lia lia???
Mkuu umeongea kwa hisia sana ila hii imenifurahisha sana.Lakini ukitaka kula na mazezeta Wewe chaguwa Simba au Yanga Ingiza pesa huko, utaimbwa kila siku.
Ongezea hapo: Na wewe gentamycice japo unadai ni simba lakini moyoni unajua kabisa na wenye macho wanakujua kabisa kuwa wewe ni yanga lia lia!! Ila camouflage yako siyo ya kitoto, ni hapo tu!GENTAMYCINE sijashangaa sana kwa hili la Ali Kiba ( mwana Yanga SC lia lia kwa 100% ) kuhamia Simba SC kwani kama Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu ni mwana Yanga SC lia lia, Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC lia lia, Mjumbe wa zamani Simba SC ( tena nimesoma nae Sekondari ) Said Tuli ( sasa ni Mshauri Kivuli wa Klabu ya Simba ) japo ni Wakala wa Wachezaji ni mwana Yanga SC lia lia, Mratibu wa Timu Abbas nae akiwa ni mwana Yanga SC lia lia na Fred Ngajiro ( Fred Vunjabei ) aliyekuwa Kit Sponsor Wetu alikuwa na ni mwana Yanga SC lia lia kwanini na Yeye Kirusi Ali Kiba asiwe mwana Simba SC Usoni ila mwana Yanga SC rohoni?
Mbona Manara ni Simba lia lia na yupo Yanga na Yanga wanaona fresh tu? Mbona Gharib Said Mohamed (GSM) ni Simba lia lia na Yanga wanaona fresh tu? Na wewe tunaaminije kama ni Simba lia lia na sio Simba kanjanja mwenye lengo la kuivuruga Simba JF?GENTAMYCINE sijashangaa sana kwa hili la Ali Kiba ( mwana Yanga SC lia lia kwa 100% ) kuhamia Simba SC kwani kama Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu ni mwana Yanga SC lia lia, Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC lia lia, Mjumbe wa zamani Simba SC ( tena nimesoma nae Sekondari ) Said Tuli ( sasa ni Mshauri Kivuli wa Klabu ya Simba ) japo ni Wakala wa Wachezaji ni mwana Yanga SC lia lia, Mratibu wa Timu Abbas nae akiwa ni mwana Yanga SC lia lia na Fred Ngajiro ( Fred Vunjabei ) aliyekuwa Kit Sponsor Wetu alikuwa na ni mwana Yanga SC lia lia kwanini na Yeye Kirusi Ali Kiba asiwe mwana Simba SC Usoni ila mwana Yanga SC rohoni?
Halafu Yanga SC wakisema ( tena kwa Kutamba ) kuwa Watakuwa Mabingwa wa NBC Premier League na kwamba watatufunga mno Simba SC huwa mnawakatalia na hamuwaelewi.
Hovyo kabisa yaani Mtu ana Bifu lake la Kushindwa Mziki na Kubanduliwa ampendae na Mwamba Nasib na kamshindwa kuona atafute Msaada wa Kusapotiwa Kimuziki na Kurudishwa katika Chati akaona aje Kwetu Mimbumbumbu ( Fools ) na kweli tumempokea na tarehe 6 August, 2023 tunaenda Kumpandisha Chati kisha akisharejea katika Kiwango chake mwakani anarejea zake Yanga SC anakokupenda zaidi.
Yaani Ali Kiba ambaye aligombana na Mchezaji Haruna Fafhil Hakizimana Niyonzima alipoihama Yanga SC na kuja Simba SC hadi Wakaufuta Urafiki na Kukacha kabisa Kuntembelea Niyonzima alipokuwa akikaa Sinza leo hii anakuja Kutubania Pua yake na kusema.... kuanzia leo Mimi ni mwana Simba SC.....
Yaani mmenikera na kuniboa Kweli!!
Wewe hizo Akili uliwahi Kuzimiliki lini?Huyu mleta post huenda ni kitoto cha Chuo, akili hamna kabisa.
POPOMAGENTAMYCINE sijashangaa sana kwa hili la Ali Kiba ( mwana Yanga SC lia lia kwa 100% ) kuhamia Simba SC kwani kama Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu ni mwana Yanga SC lia lia, Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC lia lia, Mjumbe wa zamani Simba SC ( tena nimesoma nae Sekondari ) Said Tuli ( sasa ni Mshauri Kivuli wa Klabu ya Simba ) japo ni Wakala wa Wachezaji ni mwana Yanga SC lia lia, Mratibu wa Timu Abbas nae akiwa ni mwana Yanga SC lia lia na Fred Ngajiro ( Fred Vunjabei ) aliyekuwa Kit Sponsor Wetu alikuwa na ni mwana Yanga SC lia lia kwanini na Yeye Kirusi Ali Kiba asiwe mwana Simba SC Usoni ila mwana Yanga SC rohoni?
Halafu Yanga SC wakisema ( tena kwa Kutamba ) kuwa Watakuwa Mabingwa wa NBC Premier League na kwamba watatufunga mno Simba SC huwa mnawakatalia na hamuwaelewi.
Hovyo kabisa yaani Mtu ana Bifu lake la Kushindwa Mziki na Kubanduliwa ampendae na Mwamba Nasib na kamshindwa kuona atafute Msaada wa Kusapotiwa Kimuziki na Kurudishwa katika Chati akaona aje Kwetu Mimbumbumbu ( Fools ) na kweli tumempokea na tarehe 6 August, 2023 tunaenda Kumpandisha Chati kisha akisharejea katika Kiwango chake mwakani anarejea zake Yanga SC anakokupenda zaidi.
Yaani Ali Kiba ambaye aligombana na Mchezaji Haruna Fafhil Hakizimana Niyonzima alipoihama Yanga SC na kuja Simba SC hadi Wakaufuta Urafiki na Kukacha kabisa Kuntembelea Niyonzima alipokuwa akikaa Sinza leo hii anakuja Kutubania Pua yake na kusema.... kuanzia leo Mimi ni mwana Simba SC.....
Yaani mmenikera na kuniboa Kweli!!
Manara ni Yanga tangu akiwa MadrasaSports sio uadui,,
Kama Manara alihamia Yanga basi hata kwa Kiba kuja Simba sio ajabu.
Kweli wenye akili Yanga 2 tuManara ni Yanga tangu akiwa Madrasa